mkisyeli
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 260
- 76
Kwanza kabisa naipongeza tume iliyoundwa na waziri mkuu kuchunguza kuwepo kwa matokeo mabovu ya kidato cha nne mwaka 2012 je ni sahihi kwa taasisi mbalimbali zilizojitokeza hivi karibuni kama HAKIELIMU kupinga uamuzi huo na kuitaka serikali kutatua matatizo mbalimbali yanayoikabili sekta hiyo ya Elimu kama vile malimbikizo ya mishahara,kupewa posho,kupatiwa nyumba nzuri za kuishi pia kutumia mitaala mahususi. Katika kufundishia mashuleni
Swali,je?ni sahihi kwa Taasisi hizi za Elimu kupinga kwa kufutwa kwa matokeo haya ya kidato cha nne??
Swali,je?ni sahihi kwa Taasisi hizi za Elimu kupinga kwa kufutwa kwa matokeo haya ya kidato cha nne??