Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yafafanua madai ya kutoa mafunzo ya Mitaala kwa Walimu bila kuwapa posho

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yafafanua madai ya kutoa mafunzo ya Mitaala kwa Walimu bila kuwapa posho

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Awali, Mdau wa JamiiForums.com aliandika kuwa Walimu wa Halmashauri ya Arusha wanatarajiwa kupewa mafunzo kwa ajili ya mitaala mipya ya Kidato cha Kwanza kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku ikiwa ni malipo ya chai, kwa maelezo kuwa yatakuwa mafunzo ya siku mbili, hivyo kila mmoja atalipwa Tsh. 6,000/=.

Kusoma zaidi kuhusu hoja hiyo bofya hapa ~ Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

Mwanachama mwingine wa JamiiForums.com akaandika “Walimu watapewa mafunzo hayo upande wa Mwanza bila kupewa fedha za kujikimu.”

Kusoma hoja hiyo bonyeza hapa ~ Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

Ufafanuzi umetolewa kuhusu hoja zote hizo mbili kutoka kwenye Mamlaka husika ya Serikali.

Akizungumza na JamiiForums kuhusu hoja hizo, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, ambao ndio waratibu wa mafunzo hayo, amefafanua:

“Kwanza ieleweke wazi kuwa mafunzo haya yanafanyika katika ngazi ya shule. Hata hivyo, kwa ajili ya kubadilishana uzoefu baina ya Walimu, shule zaidi ya mbili zinaweza kukutana katika ngazi ya kata au tarafa.

“Walimu wanapokutana katika vituo vyao wanapata mafunzo kutoka chanzo kimoja ili kuhakikisha kuwa walimu wote wanapata mafunzo yenye ubora sawa.

“Mafunzo haya yamelengwa kuwawezesha walimu kutekeleza mtaala ulioboreshwa na yamepangwa kuwafikia walimu wote wa sekondari nchini. Utaratibu uliopo ni kuwawezesha washiriki kupata chai kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa muda uliopo unatumika vema katika kutoa mafunzo tajwa.

“Mfumo huu sio tu kwa ajili ya Arusha au Mwanza bali utaratibu nafanyika hivyo kote Nchini. Mpaka sasa serikali imeshawafikia Walimu katika mikoa 23, na inatarajiwa kuwa mafunzo yatakamilika tarehe 31.1.2025.

“Mafunzo haya ni endelevu na yataendelea kutolewa katika ngazi ya shule kupitia jumuiya za ujifunzaji kwa kutumia mfumo wa ujifunzaji wa kidijitali ujulikanao kama Learning Management System yaani LMS.”
 
Duuuh chai tu
Yaani unamtoa mwalimu kituo chake cha kazi, kwenda kumpa chai
 
Awali, Mdau wa JamiiForums.com aliandika kuwa Walimu wa Halmashauri ya Arusha wanatarajiwa kupewa mafunzo kwa ajili ya mitaala mipya ya Kidato cha Kwanza kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku ikiwa ni malipo ya chai, kwa maelezo kuwa yatakuwa mafunzo ya siku mbili, hivyo kila mmoja atalipwa Tsh. 6,000/=.

Kusoma zaidi kuhusu hoja hiyo bofya hapa ~ Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

Mwanachama mwingine wa JamiiForums.com akaandika “Walimu watapewa mafunzo hayo upande wa Mwanza bila kupewa fedha za kujikimu.”

Kusoma hoja hiyo bonyeza hapa ~ Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

Ufafanuzi umetolewa kuhusu hoja zote hizo mbili kutoka kwenye Mamlaka husika ya Serikali.

Akizungumza na JamiiForums kuhusu hoja hizo, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, ambao ndio waratibu wa mafunzo hayo, amefafanua:

“Kwanza ieleweke wazi kuwa mafunzo haya yanafanyika katika ngazi ya shule. Hata hivyo, kwa ajili ya kubadilishana uzoefu baina ya Walimu, shule zaidi ya mbili zinaweza kukutana katika ngazi ya kata au tarafa.

“Walimu wanapokutana katika vituo vyao wanapata mafunzo kutoka chanzo kimoja ili kuhakikisha kuwa walimu wote wanapata mafunzo yenye ubora sawa.

“Mafunzo haya yamelengwa kuwawezesha walimu kutekeleza mtaala ulioboreshwa na yamepangwa kuwafikia walimu wote wa sekondari nchini. Utaratibu uliopo ni kuwawezesha washiriki kupata chai kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa muda uliopo unatumika vema katika kutoa mafunzo tajwa.

“Mfumo huu sio tu kwa ajili ya Arusha au Mwanza bali utaratibu nafanyika hivyo kote Nchini. Mpaka sasa serikali imeshawafikia Walimu katika mikoa 23, na inatarajiwa kuwa mafunzo yatakamilika tarehe 31.1.2025.

“Mafunzo haya ni endelevu na yataendelea kutolewa katika ngazi ya shule kupitia jumuiya za ujifunzaji kwa kutumia mfumo wa ujifunzaji wa kidijitali ujulikanao kama Learning Management System yaani LMS.”
Sasa ufafanuzi uko wapi hapo?
Hiki ni kituko Cha kufungulia Mwaka
 
Mimi nilichoelewa ni kuwa, taasisi imeamua kusaidia kutoa mafunzo ya mtaala kwa faida ya walimu, ni mpango wa ndani wa taasisi, hivyo shule na walimu watakaokuwa tayari wanapaswa kujigharamia au kugharamiwa na mamlaka ya shule wanazotokea na sio jukumu la taasisi (TET) inayotoa mafunzo. Lakini taasisi ili kurahisisha utoaji wa hayo mafunzo imeamua kuwakirimu Chai waalimu watakaohudhuria, na pengine kutoa pesa ya chai.
 
“Kwanza ieleweke wazi kuwa mafunzo haya yanafanyika katika ngazi ya shule. Hata hivyo, kwa ajili ya kubadilishana uzoefu baina ya Walimu, shule zaidi ya mbili zinaweza kukutana katika ngazi ya kata au tarafa.
Yeye mwenyewe akitoka TIE kwenda kwenye kikao NECTA (ofisi zote mbili ziko Bamaga Dsm zimetenganishwa na ukuta tu) analipwa kiasi gani? Tuanzie hapo
 
Awali, Mdau wa JamiiForums.com aliandika kuwa Walimu wa Halmashauri ya Arusha wanatarajiwa kupewa mafunzo kwa ajili ya mitaala mipya ya Kidato cha Kwanza kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku ikiwa ni malipo ya chai, kwa maelezo kuwa yatakuwa mafunzo ya siku mbili, hivyo kila mmoja atalipwa Tsh. 6,000/=.

Kusoma zaidi kuhusu hoja hiyo bofya hapa ~ Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

Mwanachama mwingine wa JamiiForums.com akaandika “Walimu watapewa mafunzo hayo upande wa Mwanza bila kupewa fedha za kujikimu.”

Kusoma hoja hiyo bonyeza hapa ~ Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

Ufafanuzi umetolewa kuhusu hoja zote hizo mbili kutoka kwenye Mamlaka husika ya Serikali.

Akizungumza na JamiiForums kuhusu hoja hizo, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, ambao ndio waratibu wa mafunzo hayo, amefafanua:

“Kwanza ieleweke wazi kuwa mafunzo haya yanafanyika katika ngazi ya shule. Hata hivyo, kwa ajili ya kubadilishana uzoefu baina ya Walimu, shule zaidi ya mbili zinaweza kukutana katika ngazi ya kata au tarafa.

“Walimu wanapokutana katika vituo vyao wanapata mafunzo kutoka chanzo kimoja ili kuhakikisha kuwa walimu wote wanapata mafunzo yenye ubora sawa.

“Mafunzo haya yamelengwa kuwawezesha walimu kutekeleza mtaala ulioboreshwa na yamepangwa kuwafikia walimu wote wa sekondari nchini. Utaratibu uliopo ni kuwawezesha washiriki kupata chai kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa muda uliopo unatumika vema katika kutoa mafunzo tajwa.

“Mfumo huu sio tu kwa ajili ya Arusha au Mwanza bali utaratibu nafanyika hivyo kote Nchini. Mpaka sasa serikali imeshawafikia Walimu katika mikoa 23, na inatarajiwa kuwa mafunzo yatakamilika tarehe 31.1.2025.

“Mafunzo haya ni endelevu na yataendelea kutolewa katika ngazi ya shule kupitia jumuiya za ujifunzaji kwa kutumia mfumo wa ujifunzaji wa kidijitali ujulikanao kama Learning Management System yaani LMS.”
Je miongozo ya kiutimishi inasemaje?
 
Awali, Mdau wa JamiiForums.com aliandika kuwa Walimu wa Halmashauri ya Arusha wanatarajiwa kupewa mafunzo kwa ajili ya mitaala mipya ya Kidato cha Kwanza kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku ikiwa ni malipo ya chai, kwa maelezo kuwa yatakuwa mafunzo ya siku mbili, hivyo kila mmoja atalipwa Tsh. 6,000/=.

Kusoma zaidi kuhusu hoja hiyo bofya hapa ~ Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

Mwanachama mwingine wa JamiiForums.com akaandika “Walimu watapewa mafunzo hayo upande wa Mwanza bila kupewa fedha za kujikimu.”

Kusoma hoja hiyo bonyeza hapa ~ Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

Ufafanuzi umetolewa kuhusu hoja zote hizo mbili kutoka kwenye Mamlaka husika ya Serikali.

Akizungumza na JamiiForums kuhusu hoja hizo, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, ambao ndio waratibu wa mafunzo hayo, amefafanua:

“Kwanza ieleweke wazi kuwa mafunzo haya yanafanyika katika ngazi ya shule. Hata hivyo, kwa ajili ya kubadilishana uzoefu baina ya Walimu, shule zaidi ya mbili zinaweza kukutana katika ngazi ya kata au tarafa.

“Walimu wanapokutana katika vituo vyao wanapata mafunzo kutoka chanzo kimoja ili kuhakikisha kuwa walimu wote wanapata mafunzo yenye ubora sawa.

“Mafunzo haya yamelengwa kuwawezesha walimu kutekeleza mtaala ulioboreshwa na yamepangwa kuwafikia walimu wote wa sekondari nchini. Utaratibu uliopo ni kuwawezesha washiriki kupata chai kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa muda uliopo unatumika vema katika kutoa mafunzo tajwa.

“Mfumo huu sio tu kwa ajili ya Arusha au Mwanza bali utaratibu nafanyika hivyo kote Nchini. Mpaka sasa serikali imeshawafikia Walimu katika mikoa 23, na inatarajiwa kuwa mafunzo yatakamilika tarehe 31.1.2025.

“Mafunzo haya ni endelevu na yataendelea kutolewa katika ngazi ya shule kupitia jumuiya za ujifunzaji kwa kutumia mfumo wa ujifunzaji wa kidijitali ujulikanao kama Learning Management System yaani LMS.”
Halmashauri ya Arusha ina eneo kubwa mara tatu ya Dar es asalaam.
Tuje kwenye kata sasa. Mwalimu asafiri zaidi yakilometa 50 kuelekea kwenye mafunzo Kata.

Serikali ya CCM inaamini Watanzania wana uzuzu flani au?
 
Haya ni matatizo ya kukariri kupewa posho kwa kila jambo.
Ni mentality mbaya kwa taifa.
Mafunzo yanayofanyika shuleni kwa faida ya waalimu bado waalimu wanataka wapewe posho.
 
Wangeiokota barabarani hiyo elfu tatu?
Elfu tatu kwa Dar unakula mlo.kamili kwa mama nitile na change inabaki
Duuuh kuna watu mna roho mbayaa.
Yaani unashangilia mwenzako kulipwa Elfu kabisa eti Angeiokota hiyo Elfu tatu?

Alafu hapo hapo mnataka hao walimu wawape watoto wenu elimu bora?
 
Haya ni matatizo ya kukariri kupewa posho kwa kila jambo.
Ni mentality mbaya kwa taifa.
Mafunzo yanayofanyika shuleni kwa faida ya waalimu bado waalimu wanataka wapewe posho.
mkuu hiyo posho wanastahili, ww chukulia hawa mabosi huko ofisi nyingi za umma kikao tu cha idara au cha kawaida tu cha kazi hapo hapo ofisini wanalipana posho ya kikao kuanzia 50,000-200,000 tena kikao chenyewe hakizidi hata saa moja wakimaliza wanasaini posho wanarudi ofisini kuendelea na kazi ndani ya jengo hilo hilo..ila ww unaona sawa mwalimu apewe 3000 au asipewe kabisa kweli wabongo mmezoea kunyonywa na kufanyiana roho mbaya na wivu wa kichoyo hata palipo na haki yako unayostahili..mnaona nongwa mwalimu kupewa posho nzuri lakini msisahau huyo mtoa semina na hayo mafunzo analipwa posho nzuri tu iliyonona.
 
Back
Top Bottom