Taasisi ya Hassan Maajar Trust ni ukombozi au biashara? serikali imeshindwa?

Taasisi ya Hassan Maajar Trust ni ukombozi au biashara? serikali imeshindwa?

Go Shariff go - Kutoka "Igongwe BAR" mpaka "White House"!
 
[Very true - and the husband is even worse. Nii ma papaa.

QUOTE=bulunga;2216132]Ni kweli huyu mama yupo kibiashara zaidi angalia hii Malaika Kids UK[/QUOTE]
 
kama anania ya kuondoa tatizo la madawati kwa nini hiyo channel hakuipeleka serikali? badala ya familia, yeye kishughuli yuko marekani nawezaje kuratibu mambo yanayoemdelea tanzania
 
manaose ubalozi utumike kama biashara je hiyo biashara iwe kwa manufaa ya nani?
ina maana kuna watu wako radhi kusema familia za mabalozi zitumie office zetu za umma kama kitega uchumi
 
Katika wachangiaji wote katika thread hii naona wewe ndio uliyefunguka kimawazo. Wengine wote wanaendekeza siasa na kusahau uchumi.

WaTanzania lazima muwe na mtazamo chanya. Balozi za nchi zote hapa Duniani zinafanya kazi za kutangaza na kuvutia mazuri kwa ajili ya kukuza uchumi wa nchi zao. Kwani Bila uchumi hakuna maendeleo. msiendekeze siasa zenu za chuki kwani hizo haziwezi kuwasaidia na mtaendelea kuwa nchi maskini tena maskini wa kutupwa hapa Duniani.

Ndio maana Wakenya wanatangaza mambo yenu kama Mt Kilimanjaro na hata Babu wa Samunge wapo kenya , Nyie wenyewe mnakalia siasa.

Labda mjifungue, Ni nani mtanzania ambaye ni msafi? Fungukeni na mbadili mitazamo yenu iwe ni kwa ajili ya kuendeleza uchumi wa nchi yenu.

NI kweli lakini sijawahi kusikia BALOZI au Kiomgozi yeyote huko kwa wazungu mwenye NGO huku akiwa ofisini?
au wewe unaijua NGO yeyote ya Balozi wa kigeni hapa nchini?
Au unaijua NGO ya kiongozi wowote huko kwa wenzetu amabyo inaongozwa na kiongozi aliye madarakani?
 
mama%2Bakibadilishana%2Bmawazo%2Bna%2Bmgeni%2Bwake%2Bseneta%2BWINTERS%2BJACKIE%2Bkutoka%2BMarekani.JPG


Huyu Sio US SENATOR; Jamani huyu labda ni labda Senator wa State au City (Wilaya au Mkoa) moja huko USA... Hakuna Senator Mweusi kwenye USA Senate... kuna Masenate 100 wawili kila State... kuna State 50 (Majimbo)

Kwahiyo huyu Mama ni labda rafiki; Senator wadogo hawana lolote hata mafungu ya pesa kama Madiwani wetu hawana... Kwahiyo ni kutubarangisha wabongo...
 
Jackie Winters is a Republican politician (Senator) representing a specific district in Oregon. She is also a business woman. Bonyeza hapa chini for more info.

Jackie Winters
 
Katika wachangiaji wote katika thread hii naona wewe ndio uliyefunguka kimawazo. Wengine wote wanaendekeza siasa na kusahau uchumi.WaTanzania lazima muwe na mtazamo chanya. Balozi za nchi zote hapa Duniani zinafanya kazi za kutangaza na kuvutia mazuri kwa ajili ya kukuza uchumi wa nchi zao. Kwani Bila uchumi hakuna maendeleo. msiendekeze siasa zenu za chuki kwani hizo haziwezi kuwasaidia na mtaendelea kuwa nchi maskini tena maskini wa kutupwa hapa Duniani.Ndio maana Wakenya wanatangaza mambo yenu kama Mt Kilimanjaro na hata Babu wa Samunge wapo kenya , Nyie wenyewe mnakalia siasa.Labda mjifungue, Ni nani mtanzania ambaye ni msafi? Fungukeni na mbadili mitazamo yenu iwe ni kwa ajili ya kuendeleza uchumi wa nchi yenu.
hivi TZ huwa tuna matrade attachee kwenye balozi zetu?
 
mambo ya ajabu,huyo salma ana background gani,bwanake ana mpango gani na vitu kama hivyo,hela anazotumia kuruka kila safari zisizo na mpangilio angeziweka si mikoa 10 ingekuwa na madawati shule zote?
tatizo la hawa watu hawajui ku-create idea na hawajui ku-implement chochote zaidi ya kwenda kuomba,wao kufanya mambo yao na watu waige hawawezi!!ovyo sana na aibu
 
tofauti ni kwamba deci waliokusanya walikuwa wanajulikana hii hatutawajua ni kina nani na pesa italiwa na taasisi na WAMA. kwa nini hakutumia WAMA? kama anaona serikalini ni wazushi
it might be another DECI,usanii tu!

matumivi mabaya ya ofisi, inakuwa nguvu kutenganisha majukumu yake na hiyo taasisi na ajasema nalipwa au anajitolea
maana tunamlipa mshahara na nauri za kuja tanzania na kwenye marekani, huyu anataka kumupia VIP passport vibaya kwa magendo yake


NI kweli lakini sijawahi kusikia BALOZI au Kiomgozi yeyote huko kwa wazungu mwenye NGO huku akiwa ofisini?
au wewe unaijua NGO yeyote ya Balozi wa kigeni hapa nchini?
Au unaijua NGO ya kiongozi wowote huko kwa wenzetu amabyo inaongozwa na kiongozi aliye madarakani?

ni kweli neno seneta limechomekiwa kuongeza radha, ukweli huyo ni kama diwani tu huko kwao kwa nini wamefanya hivyo? kuna kitu hapa hizo hela zitachangwa marekani na hazita mfikia mtu sana wanaleta madwati ya ushahidi kumalima kesi
Jackie Winters is a Republican politician in the U.S. state of Oregon. She currently serves as a state senator, representing herSalem district.
Winters was elected to the Oregon House of Representatives in 1998, and became the first African-American Republican ever to serve in the Oregon Legislative Assembly.[SUP][1][/SUP] She ran for the U.S. Congress in 2004


mama%2Bakibadilishana%2Bmawazo%2Bna%2Bmgeni%2Bwake%2Bseneta%2BWINTERS%2BJACKIE%2Bkutoka%2BMarekani.JPG


Huyu Sio US SENATOR; Jamani huyu labda ni labda Senator wa State au City (Wilaya au Mkoa) moja huko USA... Hakuna Senator Mweusi kwenye USA Senate... kuna Masenate 100 wawili kila State... kuna State 50 (Majimbo)

Kwahiyo huyu Mama ni labda rafiki; Senator wadogo hawana lolote hata mafungu ya pesa kama Madiwani wetu hawana... Kwahiyo ni kutubarangisha wabongo...
 
Wezi katika kushirikiana kutafuna keki ya Taifa, huu ni mpango katika ile mipango khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee poor Tanzanians.
happy are the poor for the kingdom of god is theres,.,kwi kwii
 
mwenyekiti wa taasisi ni mwanaida maajar na makamu ni sharrif maajar hii taasisi inaonekana kama ni ya kifamila zaidi badala ya kuwa ya kuwa na muonekano wa kitaifa zaidi. lengo na nia ni nzuri lakini kunaweza kutokea kikwazo ktk uwajibikaji ni ngumu mke kumwajibisha mume au mume kumwajibisha mkewe makosa yanapotokea na ni rahisi kwa taasisi kuongozwa kwa personal feelings which is lethal in any business transaction
badala ya kuzingatia professionalism. ushauri wangu kwao ni kwamba ingekuwa vizuri wao wangeingia kwenye board of trustees na kuwaachia
wengine waendeshe taasisi kwani inakuwa rahisi kwao kumonitor all the activities na kurekebisha makosa kuliko wao kuwa ndio wakurekebishwa.
''Kila Mtu na Kamhogo kake'' Jenerali Twaha Ulimwengu,akina Maajar hiyo trust fund ndio Kamhogo kao,wengine Kamuhogo kao ndio WAMa,Fursa Sawa,Kagoda,Alphatel n.k
 
Anafaa kupewa credit za kuleta wawekezaji wa sekta ya nishati, hususan umeme? Naona walioinunua DOWANS ni wa huko Amerika.
 
Jackie Winters is a Republican politician (Senator) representing a specific district in Oregon. She is also a business woman. Bonyeza hapa chini for more info.

Jackie Winters
Interesting... State Senator no tittle at all no power at all, and she's owns RIB's Business (restaurant to make Ribs and Wings); High Education... HIGH SCHOOL(TZ Standards Form Four)
 
Anafaa kupewa credit za kuleta wawekezaji wa sekta ya nishati, hususan umeme? Naona walioinunua DOWANS ni wa huko Amerika.

hujui halichofanya huko kwenye sector ya nishati mkuu,
huyo mama ndiyo kampuni yake imetuingiza katika mikataba mibovu yote ya nishati na madini
hawezi kugusa huko hata kwangua vidondo.
 
Ama kweli kwenye msafara wa mamba jike, na mamba dume wamo (of course!!). Hapa chini, nyuma, kushoto kabisa, tunamwona si mwingine bali yule jizi wa mabilioni ya shilingi aliyekuwa "balozi" wa Tanzania Italia, na ambaye kesi yake ya tokea 2004 bado haijaisha hadi hii leo kutokana na mizengwe kibao (huku mashahidi wengine wakuu washafariki dunia na hata kufikia Benjamin Mkapa kuitwa kama shahidi upande wa mshitakiwa) "Professor" Costa Mahala akiwa kwenye uzinduzi wa taasisi ya Hassan Maajar...kwa mtaji huu, kwa kweli kazi ipo!

_6.jpg
 
ama kweli kwenye msafara wa mamba jike, na mamba dume wamo (of course!!). Hapa chini, nyuma, kushoto kabisa, tunamwona si mwingine bali yule jizi wa mabilioni ya shilingi aliyekuwa "balozi" wa tanzania italia, na ambaye kesi yake ya tokea 2004 bado haijaisha hadi hii leo kutokana na mizengwe kibao (huku mashahidi wengine wakuu washafariki dunia na hata kufikia benjamin mkapa kuitwa kama shahidi upande wa mshitakiwa) "professor" costa mahala akiwa kwenye uzinduzi wa taasisi ya hassan maajar...kwa mtaji huu, kwa kweli kazi ipo!

_6.jpg

basi anashinda kesi kama mambo yenyewe ndio haya
 
Back
Top Bottom