Taasisi ya usalama wa taifa (TISS) ina bajeti?

Taasisi ya usalama wa taifa (TISS) ina bajeti?

Status
Not open for further replies.
Nimeomba kupata ufafanuzi katika hili kwani kuna taarifa zinatia shaka juu ya matumuzi ya taasisi hii ambazo zina onyesha matumizi yasiyo na tija kwa mfano zile pesa walizochukua pale CRDB na kumpatia Zitto zilikua na lengo gani na tija ipi kwa taifa then yawezekana vitabu vyao viliandikwa pesa yote milioni 450 na huku Zitto wamempa milioni 200

Nime yaandika haya kwa kuzingatia maslahi ya nchi na mapungufu makubwa ya idara hii kwani wameshindwa kusimama katika misingi ya kazi na kuwa wenye tamaa na pesa kuliko kuliko maana halisi ya kazi husika, naomba ufafanuzi katka hili na njia mbadala kama CAG aruhusiwi kukagua idara hii

TISS hawakaguliwi kutokana na ukweli kwamba mambo yao yoote wanayoyafanya yanatakiwa kuwa siri, ila tatizo usiri huo unatumika vibaya sana, sidhani kama kuchukua Pesa kudhibiti upinzania ni Kazi ya usalama wa Taifa, sidhani kama kuchukua Pesa kulipa watu kwenye Ishu kama za Ulimboka na Kibanda ni kazi ya usalama wa Taifa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom