CCM huwa hawashindi kihalali.Nipe sababu zako!
Sababu zangu ni kwamba CCM hajawahi kushinda kihalali, sababu kubwa zaidi kuliko zote ni hii,mkurugenzi nimekuteua mimi,ninakulipa mshahara, unaishi kwenye nyumba ya serekali, unatembelea gari ya serekali halafu nikusikie umetangaza mpinzani kashinda, maneno hayo na marufuku hiyo siyo ya kwangu ni ya mwenye serekali yake.Nipe sababu zako!
Si muweke hiyo Link kila mtu mwenye kutaka asome na kujiridhisha?.Kuna nini? Acha kulalamika,huo ndo ukweli uncle magufuli hakamatiki na huenda akaongezewa miaka hadi 2030,wapinzani mtapata presha,viva magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo link ni ngumu sana kuiweka hapa? ama hilo neno intelligence Unit linakutisha?.Mkuu mbona nimekuandikia. "Economist Intelligence Unit".
Tafuta wewe mwenyewe.
Unajua Hata kuandika jambo bila kuambatanisha udhibitisho ni Uvivu wa kiakili?Mkuu mbona nimekuandikia. "Economist Intelligence Unit".
Tafuta wewe mwenyewe.
Chadema chini mbowe kuna uchaguzi?Tanzani chini ya Magufuli, kuna uchaguzi?
Tumia akili!
Wee vp kwani hapo katumia nini unafikiri kama sio akili.Tanzani chini ya Magufuli, kuna uchaguzi?
Tumia akili!
Unaweza kutupa facts zako ili uni prove wrong?
Link please!Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.
Miongoni mwa kazi zake kuu ni kufanya Utafiti/Research na ANALYSIS/ UCHAMBUZI ili kupata MATOKEO/ PROJECTION za nchi mbali mbali kuhusu Siasa na Uchumi na hivyo kubashiri wakiwa wamelenga shabaha kabisa/ Accuracy katika ubashiri wao.
Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.
Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.
Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: IEU.
Duuu hiyo kali mkuu!Mazwazwa yaongezeka JamiiForums.
Fake newswww.eiu.com
Kazi kwako.
Nani alishinda 2015! Wabongo kweli mnadanganyika kirahisi viti vyote vya ubunge walivyo zoa ccm Tanzania nzima Leo hii unamini kuwa Lowasa alishindaMataga tupatie link ya huo utafiti ,pili Jiwe hakushinda 2015 na hatoshinda sema spite kwa njia ileile NEC ,tiss ,policcm .
Source please! unashindwa hata kuweka link?Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.
Hawa ndio wanatafuna hela za ccm wanaitwa MATAGA , wote ni wa kunyumbaUmepewa akili ila umeamua kuzikalia na si kuzitumia
naweza kukuthibitishia kwamba nusu ya wabunge wa ccm hawakushinda uchaguzi ule , mfano halisi ni Mbunge wa Kyela Harrison Mwakyembe na mbunge wa Rungwe Saul AmonNani alishinda 2015! Wabongo kweli mnadanganyika kirahisi viti vyote vya ubunge walivyo zoa ccm Tanzania nzima Leo hii unamini kuwa Lowasa alishinda
Sent using Jamii Forums mobile app