Uchaguzi 2020 Taasisi za Kimataifa zatoa tafiti zao kuhusu Magufuli na uchaguzi wa 2020

Muongo wewe hii link yako inakupeleka kwenye home page ambayo hiyo ripoti haipo. Halafu siku nyingine ukitoa hoja kumbuka ni jukumu lako kuitetea kwa vielelezo na sio kuwaambia watu wakatafute vyanzo.
I wish ningekusaidia upate vitu vya ndani.
Hata hivyo jaribu kutafuta maana ni msitu mkubwa.
 
CCM akili zenu mnazijua wenyewe tu, huu utafiti ungekuwa opposite kwenu basi mngesema hao ni MABEBERU wamebanwa na jiwe.
Hayo mkuu ni yako.
Langu lilikuwa tu ni kuleta uzi kulingana na EIU report.
 
naweza kukuthibitishia kwamba nusu ya wabunge wa ccm hawakushinda uchaguzi ule , mfano halisi ni Mbunge wa Kyela Harrison Mwakyembe na mbunge wa Rungwe Saul Amon
Kwa hivo wabunge wa vyama vya upinzani WALIWEKWA na CCM?
 
Uzuri wetu upande wetu tunajua kusoma kwa hiyo usitake kujifanya mwema kwa kutusomea! Hata kama hiyo link imeandikwa kijapan weka hapa tutasoma tuu!
Mkuu Gol man ndo hiyo. www.eiu.com
Kazi kwako, maana ni msitu mkubwa.
 
Taasisi za wale MABEBERU au WENGINE..??
 
Ingia m
Huu utafiti umefanyika kibarazani lumumba. hakuna link yoyote zaidi ya porojo porojo tu

MHUBIRI 4:13 SUV

"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
Mkuu ingia msituni tafuta.
Link-www.eiu.com
kazi kwako
 
Ndo hao Wazungu. Hawana namna bali kutoa kile wanachokiona kitatokea ama vipi mkuu?
Nishangaacho ni kwamba, hao wazungu, wakisema tofauti na mategemeo yao WANAITWA MABEBERU... ila wakisema vile wanavyotaka wasikie.. WANAKUWA WATAFITI WA KIMATAIFA
 
Wapinzani wamejitahidi kufanya nini? Huo utafiti ulipaswa kujua kwamba vyama vya upinzani haviruhusiwi kufanya siasa? Upuuzi tu
 
Wachambuzi wa mambo wameona hicho, naamini watanzania pia wanaliona hilo na kuachana na siasa uchwara za wapinzani
 
Nishangaacho ni kwamba, hao wazungu, wakisema tofauti na mategemeo yao WANAITWA MABEBERU... ila wakisema vile wanavyotaka wasikie.. WANAKUWA WATAFITI WA KIMATAIFA
Mkuu sidhani kama ni kweli usemavyo. Kwani ni lini walipopewa jina mabeberu?
Maana term hii MABEBERU ilikuwa ikitumika enzi za ujamaa, . Mbona sijaikia tena?
 
sijui ni swali au ni maelezo !
Erythrocyte hilo ni swali. Yaani kama CCM ni wezi wa Kura.
Je hao WABUNGE wa VYAMA ViNGINE
waliwekwa na CCM ?
Maana umesema CCM ni wezi bla! blah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…