muhimili wowote wa serikali, ni taasisi pia, including RaisMbona Mahakama sio taasisi.
Hivi wakuu somo la uraia mlikuwa mnakariri au ni kutokufahamu mambo tu.
Aisee, ina maana haujui kuwa Mahakama sio muhimili wa serikali?. Mahakama ni muhimili wa dola ambapo kuna mihimili mitatu ya dola; Serikali, Mahakama na Bunge.muhimili wowote wa serikali, ni taasisi pia, including Rais
😀DOLA ina mihimili mitatu, dola ni nini?Aisee, ina maana haujui kuwa Mahakama sio muhimili wa serikali?. Mahakama ni muhimili wa dola ambapo kuna mihimili mitatu ya dola; Serikali, Mahakama na Bunge.
Alafu sasa ndani ya muhimili wa Mahakama kuna moja ya vyombo vyake kinaitwa Mahakama ya Tanzania.
Ni mkusanyiko wa mihimili ya taifa fulani.😀DOLA ina mihimili mitatu, dola ni nini?