Unateseka ukiwa wapi? Mbona taasisi zote zina presence dodoma?Wananchi toka mikoa ya pembezoni mwa nchi tunaumia sana kusafuri toka Sumbawanga,Kigoma,Kagera kwenda mpaka Dar es salaam kupata huduma kwenye taasisi za serikali. Tunaomba wahamie HARAKA Dodoma. Ikulu na wizara zote zimeshahamia Dodoma. Wao wanasubiri nini?
Naunga mkono hoja 200%Wananchi toka mikoa ya pembezoni mwa nchi tunaumia sana kusafuri toka Sumbawanga,Kigoma,Kagera kwenda mpaka Dar es salaam kupata huduma kwenye taasisi za serikali. Tunaomba wahamie HARAKA Dodoma. Ikulu na wizara zote zimeshahamia Dodoma. Wao wanasubiri nini?
Hivi na hii mikoa nayo huwa inahitaji huduma ya serikali?Wananchi toka mikoa ya pembezoni mwa nchi tunaumia sana kusafuri toka Sumbawanga,Kigoma,Kagera kwenda mpaka Dar es salaam kupata huduma kwenye taasisi za serikali. Tunaomba wahamie HARAKA Dodoma. Ikulu na wizara zote zimeshahamia Dodoma. Wao wanasubiri nini?
HAKUNA SABABU WAKATI YAPO MA V8 MAPYA MAFUTA FULL TANK WACHA WAENDELEE KUWA DAR WALE RAHA NCHI TAJIRI SANAWananchi toka mikoa ya pembezoni mwa nchi tunaumia sana kusafuri toka Sumbawanga, Kigoma, Kagera kwenda mpaka Dar es salaam kupata huduma kwenye taasisi za serikali.
Tunaomba wahamie haraka Dodoma. Ikulu na wizara zote zimeshahamia Dodoma. Wao wanasubiri nini?