Mkuu AzarelSo ikikaa kiimani inakuwa ni Siri?
Sasa vipi kama Mtu amefia baharini hajapata kuzikwa katika kaburi?Mkuu Azarel
Kiimani kama Kuna mtu alikuwa ni mdhambi(alitenda dhambi enzi za Uhai wake) ataanza kuadhibiwa tangu akiwa kaburini
Ukisoma [Ghaafir: 45 – 46].
Hiyo Aayah iko wazi kabisa kuwepo kwa adhabu ya kaburi kabla ya Siku ya Qiyaama.
Lengo la hiyo Hadithi ni kutukumbusha kutenda mema na kuacha dhambiSasa vipi kama Mtu amefia baharini hajapata kuzikwa katika kaburi?
Labda alimtambulisha kwake akiwa Dr. na sasa ni Prof. Najaribu kuwaza tu MkuuPoleni sana, Ila nimeshindwa kuelewa hapo kwa kaka yako Mgone, umeanza kumwita Dr. Mgone kisha chini ukamwita Prof. Mgone
Kipi ni sahihi? Unaweza kutupatia historia ya Ilmu yake?
Ukitambua uwepo.wa imani za watu wengine hauwezi uliza swali la kipuuzi kama hili Mkuu.Adhabu ya kaburi ni ipi? Kaburi linawezaje kumuadhibu Mtu?
Ni kwa vipi hilo swali ni la kipuuzi? Hebu punguza jazbaUkitambua uwepo.wa imani za watu wengine hauwezi uliza swali la kipuuzi kama hili Mkuu.
Kwani wakina mazinge wanaouchambua ukristo vipi unawahusu?Waislamu ndiyo wanajua kwa mujibu wa mafundisho ya dini yao, ni kama nyie mnavyofundishwa kwamba hamna dhambi kwa sababu dhambi zenu zote zitakuwa zimefutwa na Yesu baada ya kusulubiwa.
Umewahi kusikia kuna Muislamu yeyote amehoji kuhusu jambo hilo? Kwa sababu yeye halimuhusu.
Unaijua theolojia ya waislamu juu ya kifo na kaburi?.Ni kwa vipi hilo swali ni la kipuuzi? Hebu punguza jazba
Kaburi nalifahamu, halina uhai...nikauliza adhabu ya kaburi ni ipi? Kaburi linaweza kuadhibu?
Wewe na kiherehere chako ambaye hujaukizwa unasema swali la kipuuzi, unawashwa?
Poleni sana, Ila nimeshindwa kuelewa hapo kwa kaka yako Mgone, umeanza kumwita Dr. Mgone kisha chini ukamwita Prof. Mgone
Kipi ni sahihi? Unaweza kutupatia historia ya Ilmu yake?
Shukrani Kwa taarifa Mkuu sana Mohamed Said
Huenda nilisoma taarifa ambazo hazikuwa sahihi kuhusu wawili hawa
Vipi kuhusu Oscar Kambona na Mwl Nyerere, Kipi kilitokea watu hawa wawili kugeuka maadaui baina yao licha ya nyakati kadhaa kufanya kazi pamoja huko nyuma?
Na kama hautajali unaweza kuelezea vile unavyofahamu sababu hasa ya Mwl Nyerere kufanyiwa majaribio kadhaa ya kutaka kupinduliwa na Jeshi? Mathalani niliwahi kusoma humu mtandaoni kuhusu jaribio la akina Zakaria Hanspope na wenzake kujaribu kumpindua..
Shida hasa ilikuwa ipi kutaka kufanikisha hilo?
Shukrani sana Mzee wangu
Ningejua ningeuliza yanini?Unaijua theolojia ya waislamu juu ya kifo na kaburi?.
Acha propaganda una lako jambo ww sio bureDR. TAMIM DAKTARI AMBAE HAKUGOMA MADAKTARI WALIPOGOMA
Nimempiga Dr. Tamim picha nyingi na zote ninazo zipo Maktaba.
Kila picha niliyompiga nilijitahidi kumpelekea nakala.
Tabu iliyonifika ni picha ipi nichague itakayomueleza na kumuonyesha yule ambae hakupata kumfahamu Dr. Tamim katika uhai wake alikuwa mtu wa aina gani.
Nimechagua picha hii Dr. Tamim amekaa kwenye kizingiti cha Msikiti wa Makonde.
Dr. Tamim amekaa kwenye kizingiti cha msikiti.
Ndani msikiti ulikuwa umejaa watu wanasalia maiti.
Ilibidi wengine wabakie nje.
Msikiti wa Makonde juu ya ukongwe na umaarufu wake si katika misikiti yenye nafasi ya kuchukua watu wengi.
Watu wangeamua kufunga safu hadi nje kusalia jeneza ingebidi Mtaa wa Swahili makutano na Msimbazi ufungwe kwa magari na wenda kwa miguu.
Hakuna asiyejua hekaheka ya magari ya kawaida, Mwendokasi, Bodaboda, Daladala katika makutano ya Swahili na Msimbazi.
Dr. Tamim Daktari Bingwa wa Watoto amekaa nje kwenye kizingiti cha msikiti akisubiri jeneza litoke tuelekee mazikoni.
Nimemjua Dr. Tamim tayari mganga yuko Makuti Clinic, Muhimbili akiwa pale na kaka yangu Dr. Mgone.
Kaka yangu ndiye aliyenijulisha kwake na tukawa marafiki ndugu.
Katika taarifa za msiba nilizopokea mapema moja ni kutoka kwa kaka yangu Prof. Mgone.
Hapa Makuti Clinic hapahitaji maelezo kwani baba, mama na watoto wao ambao sasa pengine na wao ni baba na mama hapa wanapajua vyema ama kwa wao kukumbuka kuambiwa na mama, "Ukiendelea na utundu wako nitakupeleka kwa Dr. Tamim akakuchome sindano."
Naamini leo wapo vijana waliokuwa wanatibiwa na Dr. Tamim Makuti Clinic watoto wao baadae wametibiwa na yeye.
Mgomo wa madaktari ulitikisa serikali.
Vyombo vya habari vikapata stori ya kuuza gazeti.
Asubuhi naangalia Daily News habari kuu iliyoandikwa kwa kichwa cha habari kwa wino mweusi uliokoza ni mgomo wa madaktari.
Chini ya kichwa cha habari naona picha ya Dr. Tamim yuko hospitali anatibia wagonjwa.
Dr. Tamim yeye hakugoma.
Nilipokutananae nikamuuliza kwa nini hakugoma?
"Mimi siwezi kugoma kwa sababu wako wale wagonjwa wametoka mbali sana mfano wa Chamazi kabadili mabasi hadi kafika Muhimbili akitegemea tiba.
Hawa ndiyo walionifanya mimi niende hospitali kuwasubiri niwatibu.
Wako wagonjwa nikiwa pale hospitali nawaona wanapoelezwa hakuna huduma wanaingia kwenye magari yao wanakwenda kwenye hospitali za kulipia.
Hawa si watu wa dhiki.
Lakini vipi jamaa zangu wa Manzese Uzuri hawa maskini ya Mungu watakwenda wapi wakinikuta mimi sipo?"
Huyu ndiye Dr. Tamim.
Watu wengi wamepita mikononi mwake kwa kutibiwa.
Aliwapenda watu na watu wakampenda.
Tamim hakuwa mtu wa kujikweza.
Tamim hakuwa mtu wa kujiona.
Tamim alikuwa mtu wa msaada kwa amjuaye na asiyemjua.
Buriani ndugu yetu.
Umeacha jina.
Wengi hawatakusahau.
Mwenyezi Mungu alipanue kaburi lako.
Amin.
Hujui kitu hapo Mkuu. Sio dhambi pia kutokuijua.Ningejua ningeuliza yanini?
Mzee wanguDR. TAMIM DAKTARI AMBAE HAKUGOMA MADAKTARI WALIPOGOMA
Nimempiga Dr. Tamim picha nyingi na zote ninazo zipo Maktaba.
Kila picha niliyompiga nilijitahidi kumpelekea nakala.
Tabu iliyonifika ni picha ipi nichague itakayomueleza na kumuonyesha yule ambae hakupata kumfahamu Dr. Tamim katika uhai wake alikuwa mtu wa aina gani.
Nimechagua picha hii Dr. Tamim amekaa kwenye kizingiti cha Msikiti wa Makonde.
Dr. Tamim amekaa kwenye kizingiti cha msikiti.
Ndani msikiti ulikuwa umejaa watu wanasalia maiti.
Ilibidi wengine wabakie nje.
Msikiti wa Makonde juu ya ukongwe na umaarufu wake si katika misikiti yenye nafasi ya kuchukua watu wengi.
Watu wangeamua kufunga safu hadi nje kusalia jeneza ingebidi Mtaa wa Swahili makutano na Msimbazi ufungwe kwa magari na wenda kwa miguu.
Hakuna asiyejua hekaheka ya magari ya kawaida, Mwendokasi, Bodaboda, Daladala katika makutano ya Swahili na Msimbazi.
Dr. Tamim Daktari Bingwa wa Watoto amekaa nje kwenye kizingiti cha msikiti akisubiri jeneza litoke tuelekee mazikoni.
Nimemjua Dr. Tamim tayari mganga yuko Makuti Clinic, Muhimbili akiwa pale na kaka yangu Dr. Mgone.
Kaka yangu ndiye aliyenijulisha kwake na tukawa marafiki ndugu.
Katika taarifa za msiba nilizopokea mapema moja ni kutoka kwa kaka yangu Prof. Mgone.
Hapa Makuti Clinic hapahitaji maelezo kwani baba, mama na watoto wao ambao sasa pengine na wao ni baba na mama hapa wanapajua vyema ama kwa wao kukumbuka kuambiwa na mama, "Ukiendelea na utundu wako nitakupeleka kwa Dr. Tamim akakuchome sindano."
Naamini leo wapo vijana waliokuwa wanatibiwa na Dr. Tamim Makuti Clinic watoto wao baadae wametibiwa na yeye.
Mgomo wa madaktari ulitikisa serikali.
Vyombo vya habari vikapata stori ya kuuza gazeti.
Asubuhi naangalia Daily News habari kuu iliyoandikwa kwa kichwa cha habari kwa wino mweusi uliokoza ni mgomo wa madaktari.
Chini ya kichwa cha habari naona picha ya Dr. Tamim yuko hospitali anatibia wagonjwa.
Dr. Tamim yeye hakugoma.
Nilipokutananae nikamuuliza kwa nini hakugoma?
"Mimi siwezi kugoma kwa sababu wako wale wagonjwa wametoka mbali sana mfano wa Chamazi kabadili mabasi hadi kafika Muhimbili akitegemea tiba.
Hawa ndiyo walionifanya mimi niende hospitali kuwasubiri niwatibu.
Wako wagonjwa nikiwa pale hospitali nawaona wanapoelezwa hakuna huduma wanaingia kwenye magari yao wanakwenda kwenye hospitali za kulipia.
Hawa si watu wa dhiki.
Lakini vipi jamaa zangu wa Manzese Uzuri hawa maskini ya Mungu watakwenda wapi wakinikuta mimi sipo?"
Huyu ndiye Dr. Tamim.
Watu wengi wamepita mikononi mwake kwa kutibiwa.
Aliwapenda watu na watu wakampenda.
Tamim hakuwa mtu wa kujikweza.
Tamim hakuwa mtu wa kujiona.
Tamim alikuwa mtu wa msaada kwa amjuaye na asiyemjua.
Buriani ndugu yetu.
Umeacha jina.
Wengi hawatakusahau.
Mwenyezi Mungu alipanue kaburi lako.
Amin.
Dr....Mzee wangu
Samahani Ni taazia au tanzia
Apumzike kwa amani mzee wetu Tamimu
mzee yapaswa avumiliwe, akili za kizee si unajua huwa zinarudi utotoni. hajawahi kuwa na stori zingine zaidi ya kuongelea waislam as if wana hatimiliki na hii nchi sisi wengine ni wakuja tu. watu kama hawa hawana faida kwenye hii dunia.
Kwanini usijikite kwenye imani yako? Acheni upumbavu.So ikikaa kiimani inakuwa ni Siri?