Taazia: Dr. Tamim Bushiri

So ikikaa kiimani inakuwa ni Siri?
Mkuu Azarel

Kiimani kama Kuna mtu alikuwa ni mdhambi(alitenda dhambi enzi za Uhai wake) ataanza kuadhibiwa tangu akiwa kaburini

Ukisoma [Ghaafir: 45 – 46].

Hiyo Aayah iko wazi kabisa kuwepo kwa adhabu ya kaburi kabla ya Siku ya Qiyaama.
 
Mkuu Azarel

Kiimani kama Kuna mtu alikuwa ni mdhambi(alitenda dhambi enzi za Uhai wake) ataanza kuadhibiwa tangu akiwa kaburini

Ukisoma [Ghaafir: 45 – 46].

Hiyo Aayah iko wazi kabisa kuwepo kwa adhabu ya kaburi kabla ya Siku ya Qiyaama.
Sasa vipi kama Mtu amefia baharini hajapata kuzikwa katika kaburi?
 
Sasa vipi kama Mtu amefia baharini hajapata kuzikwa katika kaburi?
Lengo la hiyo Hadithi ni kutukumbusha kutenda mema na kuacha dhambi

Hata ukifia baharini/ukaunguzwa moto kama wezi wafanywavyo lakini still utayahisi hayo maumivu

Tutende mema Mkuu ili tupunguziwe adhabu ya kaburi 🙏
 
Mtu ameuguwa ujawai kwenda kumuona hosipitali leo kafariki unaibuka kumsifu
 
Poleni sana, Ila nimeshindwa kuelewa hapo kwa kaka yako Mgone, umeanza kumwita Dr. Mgone kisha chini ukamwita Prof. Mgone

Kipi ni sahihi? Unaweza kutupatia historia ya Ilmu yake?
Labda alimtambulisha kwake akiwa Dr. na sasa ni Prof. Najaribu kuwaza tu Mkuu
 
Ukitambua uwepo.wa imani za watu wengine hauwezi uliza swali la kipuuzi kama hili Mkuu.
Ni kwa vipi hilo swali ni la kipuuzi? Hebu punguza jazba

Kaburi nalifahamu, halina uhai...nikauliza adhabu ya kaburi ni ipi? Kaburi linaweza kuadhibu?

Wewe na kiherehere chako ambaye hujaukizwa unasema swali la kipuuzi, unawashwa?
 
Kwani wakina mazinge wanaouchambua ukristo vipi unawahusu?
 
Ni kwa vipi hilo swali ni la kipuuzi? Hebu punguza jazba

Kaburi nalifahamu, halina uhai...nikauliza adhabu ya kaburi ni ipi? Kaburi linaweza kuadhibu?

Wewe na kiherehere chako ambaye hujaukizwa unasema swali la kipuuzi, unawashwa?
Unaijua theolojia ya waislamu juu ya kifo na kaburi?.
 
Poleni sana, Ila nimeshindwa kuelewa hapo kwa kaka yako Mgone, umeanza kumwita Dr. Mgone kisha chini ukamwita Prof. Mgone

Kipi ni sahihi? Unaweza kutupatia historia ya Ilmu yake?

View: https://youtu.be/Z8yCweRdqOk?si=17VymD_XQdsyV7LT
 
Mzee najua wajua

Upatapo muda ,tuweke sawa kuhusu namba 115 ,aliyotoka nayo shimoni ndg Forojo ganze ,huko bagamoyo na akina mzee yahaya hussein ,juu ya mwenge na asili yake
 
Acha propaganda una lako jambo ww sio bure
 
Mzee wangu
Samahani Ni taazia au tanzia?


Apumzike kwa amani mzee wetu Tamimu
 
Mzee wangu
Samahani Ni taazia au tanzia

Apumzike kwa amani mzee wetu Tamimu
Dr....
Lugha inategemea na msemaji.
Mimi ni Mswahili hili na sina lugha nyingine mama ila Kiswahili.

Husema, "Khabari."
Si "Habari."

Ndiyo unaona, "Taazia" si "Tanzia."
Maneno yote ni sawa hakuna tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…