Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Hujajibu swali Bin MwamediUsilimu,ina maana hupendi kubarikiwa na Papa?
Kaburi linatoa adhabu ipi? Mambo ya Papa tuyaache kwanza lets stick on the Topic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu swali Bin MwamediUsilimu,ina maana hupendi kubarikiwa na Papa?
Kuna tatizo Mimi Mgalatia kujua kuhusu adhabu ya kaburi?Usilimu,ina maana hupendi kubarikiwa na Papa?
Tatizo lipo kwa sababu hayakuhusu.Kuna tatizo Mimi Mgalatia kujua kuhusu adhabu ya kaburi?
Thibitisha kuwa Hayanihusu na je yanamhusu nani?Tatizo lipo kwa sababu hayakuhusu.
Wewe ni binti umepata wapi ruksa ya kuwauliza wanaume maswali ya kipuuzi?Wewe mpuuzi ungekaa tu kimya kwa wakati huu. Huu uzi ni wa majonzi na sio ujinga unaotaka kuleta.
Waislamu ndiyo wanajua kwa mujibu wa mafundisho ya dini yao, ni kama nyie mnavyofundishwa kwamba hamna dhambi kwa sababu dhambi zenu zote zitakuwa zimefutwa na Yesu baada ya kusulubiwa.Hujajibu swali Bin Mwamedi
Kaburi linatoa adhabu ipi? Mambo ya Papa tuyaache kwanza lets stick on the Topic
Yanamuhusu MuislamuThibitisha kuwa Hayanihusu na je yanamhusu nani?
Aiseeeee bundle at wkAsante kwa historia. Hujachapisha picha yake tumuone mkuu
Umeacha mada na kuingiza jambo lingine ambalo pia hulijui ndio maana umeandika usichokijuaWaislamu ndiyo wanajua kwa mujibu wa mafundisho ya dini yao, ni kama nyie mnavyofundishwa kwamba hamna dhambi kwa sababu dhambi zenu zote zitakuwa zimefutwa na Yesu baada ya kusulubiwa.
Umewahi kusikia kuna Muislamu yeyote amehoji kuhusu jambo hilo? Kwa sababu yeye halimuhusu.
Asiye Muislam hapaswi kujua yaliyopo katika Uislam kama taratibu na desturi za kiislam?Yanamuhusu Muislamu
Hii imekaa kiimani zaidi Mkuu 🙏Adhabu ya kaburi ni ipi? Kaburi linawezaje kumuadhibu Mtu?
Hapaswi kujuaAsiye Muislam hapaswi kujua yaliyopo katika Uislam kama taratibu na desturi za kiislam?
So ikikaa kiimani inakuwa ni Siri?Hii imekaa kiimani zaidi Mkuu 🙏
Hupaswi kujua kwa sababu wewe sio muumini.Umeacha mada na kuingiza jambo lingine ambalo pia hulijui ndio maana umeandika usichokijua
Back to the Topic, Kwanini mimi sipaswi kujua Kaburi linatoa adhabu ipi kwa aliyekufa?
Naweza nikawa si Muumini lakini Imani huja kwa kusikia, naweza kusikia na kuvutiwa na mafundisho hayo kisha nikaaminiHupaswi kujua kwa sababu wewe sio muumini.
Shukrani Kwa taarifa Mkuu sana Mohamed SaidGrahams,
Kuwa Kawawa na Mwalimu Nyerere walikuwa marafiki siwezi kukujibu kwa uhakika.
Siwezi kukujibu kwa uhakika kwa sababu sijui lolote kuhusu urafiki wao.
Ninachojua ni kuwa wote wawili walikuwa pamoja katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Suala la urafiki kati ya watu wawili ni kitu kinachobeba mambo mengi.
Marafiki wa Nyerere wote wanafahamika kutokana na historia baina yao mfano wa Nyerere na Andrew Tibandebage, Joseph Kasella Bantu, Hamza Mwapachu, Abdul na Ally Sykes, Dossa Aziz, Amir Jamal, John Rupia, Mshume Kiyate na pengine wengine ambao mimi sina historia zao.
Bahati mbaya mimi katika kuijua historia ya Nyerere sikumuona Kawawa katika hao niliowataja
hapo juu.
Uswahiba yaani urafiki unaambatana na hisani yaani wema.
Swali lako halikulenga kujua bali lililenga kubeza na kukebehi, hata hivyo unakaribishwa kwenye darsa msikiti wowote ulio karibu nao.Naweza nikawa si Muumini lakini Imani huja kwa kusikia, naweza kusikia na kuvutiwa na mafundisho hayo kisha nikaamini
Sio vizuri kufanya siri kwa Waumini pekee