Taazia: Dr. Tamim Bushiri

Taazia: Dr. Tamim Bushiri

Hujajibu swali Bin Mwamedi

Kaburi linatoa adhabu ipi? Mambo ya Papa tuyaache kwanza lets stick on the Topic
Waislamu ndiyo wanajua kwa mujibu wa mafundisho ya dini yao, ni kama nyie mnavyofundishwa kwamba hamna dhambi kwa sababu dhambi zenu zote zitakuwa zimefutwa na Yesu baada ya kusulubiwa.
Umewahi kusikia kuna Muislamu yeyote amehoji kuhusu jambo hilo? Kwa sababu yeye halimuhusu.
 
RIP DK NAKUKUMBUKA SANA PUMZIKA KWA AMANI ASHAZIKWA WAPI
 
Waislamu ndiyo wanajua kwa mujibu wa mafundisho ya dini yao, ni kama nyie mnavyofundishwa kwamba hamna dhambi kwa sababu dhambi zenu zote zitakuwa zimefutwa na Yesu baada ya kusulubiwa.
Umewahi kusikia kuna Muislamu yeyote amehoji kuhusu jambo hilo? Kwa sababu yeye halimuhusu.
Umeacha mada na kuingiza jambo lingine ambalo pia hulijui ndio maana umeandika usichokijua

Back to the Topic, Kwanini mimi sipaswi kujua Kaburi linatoa adhabu ipi kwa aliyekufa?
 
Umeacha mada na kuingiza jambo lingine ambalo pia hulijui ndio maana umeandika usichokijua

Back to the Topic, Kwanini mimi sipaswi kujua Kaburi linatoa adhabu ipi kwa aliyekufa?
Hupaswi kujua kwa sababu wewe sio muumini.
 
Hupaswi kujua kwa sababu wewe sio muumini.
Naweza nikawa si Muumini lakini Imani huja kwa kusikia, naweza kusikia na kuvutiwa na mafundisho hayo kisha nikaamini

Sio vizuri kufanya siri kwa Waumini pekee
 
Grahams,
Kuwa Kawawa na Mwalimu Nyerere walikuwa marafiki siwezi kukujibu kwa uhakika.

Siwezi kukujibu kwa uhakika kwa sababu sijui lolote kuhusu urafiki wao.

Ninachojua ni kuwa wote wawili walikuwa pamoja katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Suala la urafiki kati ya watu wawili ni kitu kinachobeba mambo mengi.

Marafiki wa Nyerere wote wanafahamika kutokana na historia baina yao mfano wa Nyerere na Andrew Tibandebage, Joseph Kasella Bantu, Hamza Mwapachu, Abdul na Ally Sykes, Dossa Aziz, Amir Jamal, John Rupia, Mshume Kiyate na pengine wengine ambao mimi sina historia zao.

Bahati mbaya mimi katika kuijua historia ya Nyerere sikumuona Kawawa katika hao niliowataja
hapo juu.

Uswahiba yaani urafiki unaambatana na hisani yaani wema.
Shukrani Kwa taarifa Mkuu sana Mohamed Said

Huenda nilisoma taarifa ambazo hazikuwa sahihi kuhusu wawili hawa

Vipi kuhusu Oscar Kambona na Mwl Nyerere, Kipi kilitokea watu hawa wawili kugeuka maadaui baina yao licha ya nyakati kadhaa kufanya kazi pamoja huko nyuma?

Na kama hautajali unaweza kuelezea vile unavyofahamu sababu hasa ya Mwl Nyerere kufanyiwa majaribio kadhaa ya kutaka kupinduliwa na Jeshi? Mathalani niliwahi kusoma humu mtandaoni kuhusu jaribio la akina Zakaria Hanspope na wenzake kujaribu kumpindua..

Shida hasa ilikuwa ipi kutaka kufanikisha hilo?
 
mzee yapaswa avumiliwe, akili za kizee si unajua huwa zinarudi utotoni. hajawahi kuwa na stori zingine zaidi ya kuongelea waislam as if wana hatimiliki na hii nchi sisi wengine ni wakuja tu. watu kama hawa hawana faida kwenye hii dunia.
 
Naweza nikawa si Muumini lakini Imani huja kwa kusikia, naweza kusikia na kuvutiwa na mafundisho hayo kisha nikaamini

Sio vizuri kufanya siri kwa Waumini pekee
Swali lako halikulenga kujua bali lililenga kubeza na kukebehi, hata hivyo unakaribishwa kwenye darsa msikiti wowote ulio karibu nao.
 
Back
Top Bottom