Taazia Fupi: Kitwana Selemani Kondo 2017

Taazia Fupi: Kitwana Selemani Kondo 2017

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
TAAZIA FUPI KWENYE MAZIKO YA MZEE KITWANA SELEMANI KONDO 2017

Naeleza siku aliyonipa jina la "mole," (kachero, jasusi)wa Waingereza aliyekuwa ndani ya uongozi wa juu wa TANU 1954.

Naeleza mkutano wa siri nyumbani kwa Hamza Mwapachu, Nansio Ukerewe mwaka wa 1953 kujadili kumwingiza Julius Nyerere katika uongozi wa juu wa TAA na mwaka unaofuatia 1954 waunde TANU.

Kikao hiki huyu "mole," wa Waingereza alikuwa kasafiri na Abdul Sykes kuja Nansio kushiriki katika mazungumzo haya.



 
Huyu mzee hakuacha kuwa "mole" hata uzeeni mwake.
Tuna mengi ya kusikitisha juu yake.
Lakini kwa vile kapumzika mwacha yazikwe na yeye.
 
Mnazi mmoja Kiwana Kondo aliisha uza kwani wahindi waliisha zungushia mabati kuanza ujenzi!! Lowassa akiwa PM ndio aliyenusuru janga lile kwa kuwapiga stop!!!
Lowassa amekuwa PM wakati Kitwana keshasahaulika kwenye siasa za Dar, labda zungumzia Lowassa akiwa Waziri wa ardhi
 
Back
Top Bottom