Taazia: Nusura Faraji -"Mwanamji"

Mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha
Ndio maana nimekwambia elewa kwanza nature ya Allah na nature ya Jehovah
Jua tofauti zao kwanza , video niliyokuwekea imeeleza vizuri na ni waislamu wapo humo wanaelezea ,

Allah ni physical being while
Jehovah ni spirit

Spirit to manifest inaitaji mwili , mwili una human flesh ,soul na spirit
Unatakiwa uwe muelewa mwili na soul vinapo fanya jambo na kuongea na spirit inapo ongea ( kwa nature ya Yesu)

Human flesh tunaona mara nyingi zinakuwa possessed na demons how and why?

Najua mpaka Allah kasema kawanyima elimu ya rohoni ila nimekupa kidogo kama mtoto
 
Sawa,Ila yesu ana mungu wake,akimuomba kila alipokwama
Soma kwanza Baba , mwana na Roho mtakatifu uelewe kwanza

Allah yeye ni physical being, mguu mmoja , mikono 2 upande mmoja , dyudyu, USO, vidole, macho na ni statue iliyokuwepo pale macca

And obviously alikuwa katengenezwa kwa jiwe , maana Muhammad kasema jiwe la macca black stone ni mkono wa Allah , akasema ukiubusu ndio umembusu Allah maana ndio kabakia vikokoto
 
Nakuombea maisha marefu mzee wangu Mungu akupe siha njema
 
Mimi sijatangaza dini yoyote hapa. Yesu Kristo sio dini.
Ingekuwa busara kama ungeanzisha thread yako na kuingiza Imani yako huko kuliko ulivyo fanya. Huo ni uchokozi usio na busara!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…