Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Namba 9 nakataa
Kuna mlevi kushinda mchaga?
Kuna mlevi kushinda mchaga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If you want to talk about haya people think twice.you can't Comperhaya bhana, Mzungu
Mhaya ushaanza SIFAIf you want to talk about haya people think twice.you can't Comper
Na mungu alituumba tule tunywe .kazi ambayo inafanywa na wahaya na wazungu tuNaunga hoja mkono hapo kwa waluguru na wagogo
Intrecual people no wahyaMhaya ushaanza SIFA
KIZUNGU CHA NINI SASA
NB: hapa ni jukwaa la CHIT-CHAT
Kujilinganisha na makabila mengine no kupoteza mudaIntrecual people no wahya
Muha hata ukiwa unakoroma bado anabishana na weweHivi ukiwa na mke bado tunaiita ngono..!!?? Aisee me naipenda sana hiyo kitu, halafu me sio mngoni.
Mkuu umewasingizia WAKINGA kwa ubishi, humjui vizuri MUHA wewee
Umewatukana Sana wanyaturu
Kwamba akina mwigulu ni rojorojo?Wala sijatukana mkuu
Mhehe kazidisha yaani mtoto anayeenda machungani wa miaka 8 tu anaenda na dumu kubwa la pombeNamba 9 nakataa
Kuna mlevi kushinda mchaga?
Muha hata ukiwa unakoroma bado anabishana na wewe
Hii niliiona kigoma - Dar
Hawa jamaa kwa ubishi hawafai naona hata hakimu unasalimu amriNilipanda treni kutoka Kigoma, Mule ndani inabidi uwepo Mahakama aisee
Hawa wanaume wao Wakarimu lakini wanawake wao eeeeh KamdomoWamakonde mbona hujasema tabia zao?