Tabia 4 za watu waliofanikiwa katika umri mdogo

Tabia 4 za watu waliofanikiwa katika umri mdogo

Natilia mkazo "Vitendo dhidi ya Maneno" JUST DO IT ✅
 
Watu wachache watakubali. Idea ni msingi wa mafanikio, pili soko la bidhaa itakayotoka, tatu akili na uwezo wa kuisimamia Idea. Na mwisho ni capital. Mifano ipo mingi ukipewa pesa huna idea na uwezo wa kubuni biashara fedha utakula kiha ulie njaa.tizama Mark Zuckenberg mmiliki wa FB alikuwa na kiai gani cha fedha pindi anatoka na thefacebook. Waliowengi ninaowasikia wakilia mtaji, hawajui wakipata fedha watafanya nini.au hawana uelewa na soko. Tujitahidi kupata idea na nzuri. Idea ikiwa nzuri pia wakukupatia pesa watajitokeza.
 
Hata ulete mada aina gani humu jf kati ya 10 ni 1 ndiyo ita _achieve.
Bahati mbaya vijana wengi mlio mjini hampendi kuthubutu, mfano;
Unaweza kupata 100000/- unaamua kwenda lushoto ukakaa guest kwa siku 3 ukilipa, kula na kusafiri kwa hiyo pesa lengo ukaangalie fulsa uitumie?

Wengi ndiyo hawa wanaoanzisha thread za kuomba kubadilishana vituo vya kazi 80% wote wanataka kuja mijini, wapi na wapi kufikia mafanikio wakati unang'ang'ania one location..!!

Mthubutu vijana wangu.
 
Back
Top Bottom