Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Sawa Sawa
uko sahihi,ukikosea hizi lazima uwe mteja wa MwamposaNa hizi weaknesses ndio waganga wanawaambia wateja wao wafanye huku wakiwachanja chale za uongo na kuongezea masharti madogo madogo kama leta kuku mweupe na nguo nyekundu [emoji1] [emoji1787]
[emoji1] [emoji1787]uko sahihi,ukikosea hizi lazima uwe mteja wa Mwamposa
sure mkuu[emoji1] [emoji1787]
sureGood sana
[emoji1] [emoji1787]
pamojaGood
sure, unapoteza trust kwa wateja.
Au uwawekee TV kabisa masela wa kitaa, hapo imekula kwakoKuna wanaoweka vijiwe vya kubishana mpira dukani..
Na wale ambao chenji hawana kila siku