Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Mwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.

Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
Kwamimi siwezi kwenda bar na washikaji halafu kila mtu atoe pesa kivyake hiyo haijakaa powa,kwangu nikienda na washkaji kupata vyombo lazima nilipe huo ndio ubest,ukiona washkaji wameenda bar kila mtu analipa bills kivyake basi jua hao wana urafiki wa mashaka.

Chips Zege hapo una utani,kwa mabachela hicho ndio chakula chake kikuu.

Hayo Mengine yanatia shaka kweli.
 
Na Mimi Nina tabia nisizopenda Kwa wanawake.

Mnafika nae geto mmekaa nae kitandani anauliza unataka kufanya nini? Mimi huwa nawajibu nataka kufua nguo pale kitandani.[emoji23] [emoji23]

Na ndo jibu linalostahili aisee ama unamwambia nipo zizini nasubiri kukamua ng'ombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…