Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Tabia ambazo sijawahi kuzizoea nikimuona mwanaume anafanya

Kuhusu vyote ulivyoandika nakubaliana na wewe, lakini kunywa WINE hilo nakataa, kuna Wine za aina mbali mbali, sweet weni, dry white wine, rose wine na red wine. Kuhusu sweet wine kama uliyoitaja(St. Anna) hiyo kila mtu anaweza kuitumia kama vile ambavyo kuna wanaume wanakunywa juice au fanta orange n.k, sioni kama ni vibaya.

Lakini kama hoja yako ni matumizi ya vitu vya mafuta mafuta na sukari kwa wanaume ni madhara, basi fahamu kwamba hata kwa wanawake vitu hivyo vinamadhara pia.

By the way mkuu Mzigua90 kwanini unapenda vitu vizuri vizuri tuwaachie ninyi wanawake peke yenu?? Huo ni ubinafsi mkuu.
 
Uanaume ni mgumu sana. Ipo siku tutaambiwa wanaume hatupaswi kuchambia maji.
 
Back
Top Bottom