Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,373
- 5,100
Tuorodheshe tabia za waTanzania halisi
1 Anakukopa hela kiupole ila ukidai automatically unakua mtu mbaya kwake asiyefaa
2 Kabla hajajua cheo chako au wadhifa wako anakutreat kama takataka ila akisikia wew mtu flan ghafla treatment inabadilika
3 Mkiwa mnamiadi maybe kuonana au mnaonana saa flan na ukamjulisha kabsa unatoka eneo ulipo huku akijua wew hujui maeneo alipo yeye unaweza shangaa unafika unapiga simu hapokei na baada ya masaa 2-4 akakwambia eti simu ilikua silent au alikua anapika n.k
4 ukipanda cheo au kumzidi kitu flan anachukia kabsa
5 Akisikia matatzo ya mwenzake anafurahi sana
6 Wanapenda kusaidiwa tu walio wengi na kuona msaada ni haki yake
7 Unaweza msaidia mtu kwa wema ukaonekana unajipendekeza
8 Ukiwa na ukaribu na boss au mtu mkubwa watakutunga majina kama CHAWA n.k
9 Ukiwa mgeni maeneo hasa makazini n.k kuna wadau watataka kukuchimba vya ndani kabsa kuhusu wew yani akujue tu kwa mapana
10 Unaweza chukiwa na mtu yeyote wakat wowote bila sababu yoyote hata kama hamjawahi kuongea zaidi ya salamu
11 Unaweza vile vile kuibiwa mchana kweupe huku watu wanaona na wasifanye chchte
12 Wanawake wengi hujiona ma celebrity hasa madem wa TikTok huku wakitaka kutumiwa hela bila kufanya kazi yyte
13 Unafiki umeota mizizi kuanzia level ya familia hadi huko mtaani
14 Ukiwa huna time na mtu wanasema unajisikia n.k
15 Watu wanaweza kukuangalia mpaka unaangamia bila ya msaada wwte ili wafurahi
16 Asilimia kubwa mtu wko wa karibu ndo huyo huyo atakayekuangamiza kama sio kukupeleka kaburini kbsa
Zingne naomba muendeleze
1 Anakukopa hela kiupole ila ukidai automatically unakua mtu mbaya kwake asiyefaa
2 Kabla hajajua cheo chako au wadhifa wako anakutreat kama takataka ila akisikia wew mtu flan ghafla treatment inabadilika
3 Mkiwa mnamiadi maybe kuonana au mnaonana saa flan na ukamjulisha kabsa unatoka eneo ulipo huku akijua wew hujui maeneo alipo yeye unaweza shangaa unafika unapiga simu hapokei na baada ya masaa 2-4 akakwambia eti simu ilikua silent au alikua anapika n.k
4 ukipanda cheo au kumzidi kitu flan anachukia kabsa
5 Akisikia matatzo ya mwenzake anafurahi sana
6 Wanapenda kusaidiwa tu walio wengi na kuona msaada ni haki yake
7 Unaweza msaidia mtu kwa wema ukaonekana unajipendekeza
8 Ukiwa na ukaribu na boss au mtu mkubwa watakutunga majina kama CHAWA n.k
9 Ukiwa mgeni maeneo hasa makazini n.k kuna wadau watataka kukuchimba vya ndani kabsa kuhusu wew yani akujue tu kwa mapana
10 Unaweza chukiwa na mtu yeyote wakat wowote bila sababu yoyote hata kama hamjawahi kuongea zaidi ya salamu
11 Unaweza vile vile kuibiwa mchana kweupe huku watu wanaona na wasifanye chchte
12 Wanawake wengi hujiona ma celebrity hasa madem wa TikTok huku wakitaka kutumiwa hela bila kufanya kazi yyte
13 Unafiki umeota mizizi kuanzia level ya familia hadi huko mtaani
14 Ukiwa huna time na mtu wanasema unajisikia n.k
15 Watu wanaweza kukuangalia mpaka unaangamia bila ya msaada wwte ili wafurahi
16 Asilimia kubwa mtu wko wa karibu ndo huyo huyo atakayekuangamiza kama sio kukupeleka kaburini kbsa
Zingne naomba muendeleze