Viumbe wengine ni wa ajabu sana wameumbwa kupondea sana,we kama una kazi nzuri yenye mshahara mkubwa ni yako na inasaidia familia yako na haina msaada wowote kwangu.Wanachotakiwa kutambua ni kwamba hata mbuyu ulianza kama mchicha.Ishaalah one day yes
Malalamiko yako ni ya kweli kabisa ila nadhani watoto ni wengi huku JF siku hizi.
Malalamiko yako ni ya kweli kabisa ila nadhani watoto ni wengi huku JF siku hizi.