tabia hii inaweza ikamletea madhara?

1. Huenda sio makosa yake..yeye asubuhi chai maharage...mchana ugali maharage...jioni wali maharage.

AU

2. Ni wa jinsia gani vile?


3. Ni tabia tu.


But in any case unapaswa kumuonya.
 
Jamii dokta kama mpo msaidieni kutatua tatizo la rafiki yake kitabibu na kisaikolojia kama inawezekana maana post zote sioni hata pahala mtu kazungumzia hilo tatizo kuwa labda jamaa maeneo flani nat zimeloose so brek zinafeli kila time once anapo fill ku vyuuuuuuuuu!!!
 

Mkuu mimi nahs wewe ndo una tabia hii,
au huwa unaenda matakoni kwake kumnusa kujua km amejamba au la??? 😕

NB:
Huyo rafikio anahitaji kuambiwa ukweli kwamba tabia hiyo sio nzuri kabisa, anatakiwa wakati anasikia tu kujamba inabidi aende mbali na watu au chooni halafu ajambe, akimaliza ajaribu hata kujikung'uta kidogo ili hewa chafu kwenye nguo iondoke kabisa ndio arudi aendelee na shughuli.
SI TABIA NZURI HATA KIDOGO KUJAMBA MBELE ZA WATU, MWAMBIE AJIHESHIMU!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…