Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mkuu hebu fanya kutuasa yale unayoyakumbuka na sisi ambao huwa tunachukulia vitu kwa urahisi tu.kuna kakitabu nilisomaga kanaeleza mambo yasiyofaa ugenini. Haifai kuazima vitu vidogovidogo ugenini.
Inategemea malezi yako,umuhimu na unavyomchukulia MGENI bila kusahau uvivu wako mkuu.Mtu aje saa 10 afu nirud jikon
Sent using Jamii Forums mobile app
Shule zimefunga wakuu. Tuwavumilie tu.Uzi wa kipuuzi sana huu....JF ishaingiliwa na members wa Facebook... zamani tulikua tunatumia JF kama chanzo cha taarifa na maarifa muhimu,leo tunaingia JF tunakutana na mambo ambayo haya add value kabisa kwenye maisha yetu....inauma sana,ndio maana wengine tumehamia kwenye platform za kimataifa kama Tapatalk,Quora n.k maana huko tunaweza kujadiri mambo ya maana,au tukajifunza vitu vipya,...katika dunia ya leo ya kibepari ubongo unahtaji kulishwa na kujazwa maarifa na taarifa ambazo ni muhimu,....tuliifaidi sana JF miaka ya 2010-2015 lakini baada ya hapo wambea wa Insta, Facebook nao wamejiunga...sasa ukiingia tu unakutana na post ya "uume wangu mdogo,naweza kumridhisha?"like seriously!!.... nowadays we think very small,we are not great thinker any more.....lakini tutafanyaje sasa inabidi tuzoee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa sisi tunaobugia balimi.Hatupendi kwenda ugenini majumba ya watu.Tunawasiliana kama wanachama tutakutana sehemu gani,basi!Ya nini kusimangiwa charger?Wanakuona siku ya pili mchana,unaongea na wenyeji kidogo halafu unajidai una haraka sana.Ndiyo kwa heri mwalimu hiyo.Kama sijapata emergency hua sipendi kufikia kwa mtu. Napenda kulala lodge kwa kua napata uhuru wa kufanya lolote wakati wowote.
Hii in JAMII! Wewe unalieleawaje neno JAMII?? ukielewa maana ya neno JAMII hata siku moja hautakuja kulalamika kuhusu maada za ajabu/ kijinga.Uzi wa kipuuzi sana huu....JF ishaingiliwa na members wa Facebook... zamani tulikua tunatumia JF kama chanzo cha taarifa na maarifa muhimu,leo tunaingia JF tunakutana na mambo ambayo haya add value kabisa kwenye maisha yetu....inauma sana,ndio maana wengine tumehamia kwenye platform za kimataifa kama Tapatalk,Quora n.k maana huko tunaweza kujadiri mambo ya maana,au tukajifunza vitu vipya,...katika dunia ya leo ya kibepari ubongo unahtaji kulishwa na kujazwa maarifa na taarifa ambazo ni muhimu,....tuliifaidi sana JF miaka ya 2010-2015 lakini baada ya hapo wambea wa Insta, Facebook nao wamejiunga...sasa ukiingia tu unakutana na post ya "uume wangu mdogo,naweza kumridhisha?"like seriously!!.... nowadays we think very small,we are not great thinker any more.....lakini tutafanyaje sasa inabidi tuzoee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii in JAMII! Wewe unalieleawaje neno JAMII?? ukielewa maana ya neno JAMII hata siku moja hautakuja kulalamika kuhusu maada za ajabu/ kijinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ni wasaa muafaka wa kujua tabia za jamii ingine.Mimi sikuwahi kufikiri kwamba kuazima charger ni kosa la kumuudhi mwenyeji wangu mpaka nilipouona uzi huu.Hii in JAMII! Wewe unalieleawaje neno JAMII?? ukielewa maana ya neno JAMII hata siku moja hautakuja kulalamika kuhusu maada za ajabu/ kijinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugenini unakosa freedom sana, pia kingine 'Privacy is not guaranteed'.Hasa sisi tunaobugia balimi.Hatupendi kwenda ugenini majumba ya watu.Tunawasiliana kama wanachama tutakutana sehemu gani,basi!Ya nini kusimangiwa charger?Wanakuona siku ya pili mchana,unaongea na wenyeji kidogo halafu unajidai una haraka sana.Ndiyo kwa heri mwalimu hiyo.
Wengine tukipiga masanga tunaporudi nyumbani lazima tyimbe nyimbo za kikwetu kwa sauti na shati begani,kifua wazi.Sasa,kwa hii namna ya mleta uzi lazima atanikoyonga makofi.Ndipo vita ya tatu ya dunia itazuka.Nyumba za wageni zidumu!Ugenini unakosa freedom sana, pia kingine 'Privacy is not guaranteed'.
ukipiga vitu unakosa 'confidence' kabisa bora kufikia lodge kama ni mitungi unapiga 'to your limit'
anasema haifai kwenda ugenini na kuanza kusifu watu wengine kama vile wenyejii wako hawana maana. wanakuandalia msosi unaanza ''mke wa Fulani akikupikia njugu za Nazi! utajikata vidole''. Mara ''watoto wa Fulani vichwa sana''Mkuu hebu fanya kutuasa yale unayoyakumbuka na sisi ambao huwa tunachukulia vitu kwa urahisi tu.
Wewe unaweza kuibadisha duniaMtoa maada ana hoja, sema kuna mijitu inajifanya haielewi. Hiyo ndo inasumbua watu. Chaja ina uzito gani mpaka usibebe yako!!? Sasa mwenyeji wako anataka kuchaj nawe ndo unasema niazime chaja. Unajua atakosa dili ngapi kwa kutokuwepo hewani!!?
🤣🤣🤣Wengine tukipiga masanga tunaporudi nyumbani lazima tyimbe nyimbo za kikwetu kwa sauti na shati begani,kifua wazi.Sasa,kwa hii namna ya mleta uzi lazima atanikoyonga makofi.Ndipo vita ya tatu ya dunia itazuka.Nyumba za wageni zidumu!
You are great!kuna kakitabu nilisomaga kanaeleza mambo yasiyofaa ugenini. Haifai kuazima vitu vidogovidogo ugenini.
Mgeni haombi chakula bali anakaribishwa,tabia ya kuomba msosi ukiachwa na watoto utawabakaKama chaja tu unambania, je mgeni akiomba chakula( ambacho binadamu akila ndani ya muda kidogo tu kinageuka kua MAVI) utampa kweli?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mgeni haombi chakula bali anakaribishwa,tabia ya kuomba msosi ukiachwa na watoto utawabaka
Sent using Jamii Forums mobile app