KIMIYAKIMIYA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 244
- 321
- Thread starter
- #41
Simu ya mwenyeji wako ikizima shauri ya chaja uliyoazima ili tu utoe pevu jf unapoteza deal za mwenyeji wako , ambaye ana kupatia mahitaji yako kwake, haihitaji degree ya chuo kikuu ili utambue hiloNa ni wasaa muafaka wa kujua tabia za jamii ingine.Mimi sikuwahi kufikiri kwamba kuazima charger ni kosa la kumuudhi mwenyeji wangu mpaka nilipouona uzi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app