semmy samson
Member
- Dec 20, 2010
- 85
- 0
naungana na wewe kaka,
tabia hizo ni mbaya sana katika maisha ya kila siku hasa maisha ya ndoa
Umesahau lingine KUTONGOZA MKE WA MTU AU MWANAMKE KUJIPENDEKEZA KWA MUME WA MTU HIYO PIA NI MBAYA.
KUNYWA KUPITA KIASI NA KUITELEKEZA FAMILIA, HAIPENDEZ PIA
kwa le naongezea hayo
tabia hizo ni mbaya sana katika maisha ya kila siku hasa maisha ya ndoa
Umesahau lingine KUTONGOZA MKE WA MTU AU MWANAMKE KUJIPENDEKEZA KWA MUME WA MTU HIYO PIA NI MBAYA.
KUNYWA KUPITA KIASI NA KUITELEKEZA FAMILIA, HAIPENDEZ PIA
kwa le naongezea hayo