evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,772
Habarini ndugu wana Jf nimatumaini yangu mko vizuri mnaendelea na majukumu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni kushirikishana tabia zinazo kuudhi ambazo zimekuwa zikifanywa na baadhi ya watu kwa makusudi au bila kudhamiria
Nikianza na mimi hizi ni baadhi ya tabia zinazo niudhi
Kukojoa bafuni
Hii tabia inaniudhi sana hasa hapa ninapoishi watu sio wastaarabu hata kidogo unakuta mtu mzima mama au baba anafanya huu upuuzi wakati choo kipo
Kupiga kelele hasa wakati wa usiku
Hiki kitu kinaniudhi sana unakuta watu mmelala watu wanaleta makelele yasiyo na msingi wana kera sana
Kugambania chakula misibani
Hili linaniudhi sana unakuta mtu mzima kabisa anagombania chakula kwenye msiba utadhani kwake huwa hali wanakera sana ,ukizingatia ile ni sehemu ya majonzi
Hizo ni baadhi ya tabia zinazo niudhi nyingine nitazidi kuziongeza kadiri muda unavyo kwenda karibuni tushirikishane
Nawasilisha.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni kushirikishana tabia zinazo kuudhi ambazo zimekuwa zikifanywa na baadhi ya watu kwa makusudi au bila kudhamiria
Nikianza na mimi hizi ni baadhi ya tabia zinazo niudhi
Kukojoa bafuni
Hii tabia inaniudhi sana hasa hapa ninapoishi watu sio wastaarabu hata kidogo unakuta mtu mzima mama au baba anafanya huu upuuzi wakati choo kipo
Kupiga kelele hasa wakati wa usiku
Hiki kitu kinaniudhi sana unakuta watu mmelala watu wanaleta makelele yasiyo na msingi wana kera sana
Kugambania chakula misibani
Hili linaniudhi sana unakuta mtu mzima kabisa anagombania chakula kwenye msiba utadhani kwake huwa hali wanakera sana ,ukizingatia ile ni sehemu ya majonzi
Hizo ni baadhi ya tabia zinazo niudhi nyingine nitazidi kuziongeza kadiri muda unavyo kwenda karibuni tushirikishane
Nawasilisha.