Inapendeza
Member
- Nov 22, 2017
- 20
- 15
Na walevi wengi sorry wanywaji wapo tayari ulewe tu ila mwambie home hata dagaa hamna naomba hiyo hela hupewi ng’o!Sioni hasara kwa upande wako manake mwisho wa siku unachofanya ni kutoa pesa ya kinywaji.....iwe kanywa,kachukua pesa uliyolipia kinywaji ama kachukua kinywaji halafu akamwaga hiyo ni yeye sasa
Mjini mipango
Na walevi wengi sorry wanywaji wapo tayari ulewe tu ila mwambie home hata dagaa hamna naomba hiyo hela hupewi ng’o!
Mhudumu yupo sawa si hatakiwi kulewa akiwa kazini!
Mlevi anaweza kukulewesha wiki nzima lakini atalalamika sana kukununulia chakula siku moja tu!..Sioni hasara kwa upande wako manake mwisho wa siku unachofanya ni kutoa pesa ya kinywaji.....iwe kanywa,kachukua pesa uliyolipia kinywaji ama kachukua kinywaji halafu akamwaga hiyo ni yeye sasa
Mjini mipango
Yani unaends bar , mhudumu anakuomba bia unaruhusu apewe, matokeo yako atajizungusha wee.....kinywaji asinywe na anasuka mpango kaunta wanampa hela baada ya kile kinywaji..
Wanaboa sana,,,,kutuona wateja maboya