Inapendeza
Member
- Nov 22, 2017
- 20
- 15
Yani unaends bar , mhudumu anakuomba bia unaruhusu apewe, matokeo yako atajizungusha wee.....kinywaji asinywe na anasuka mpango kaunta wanampa hela baada ya kile kinywaji..
Wanaboa sana,,,,kutuona wateja maboya
Wanaboa sana,,,,kutuona wateja maboya