GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kwa ngazi ya Kimataifa, Watanzania wanafahamika kuwa ni wapole, wakarimu, na wengine huwatuhumu kuwa ni waoga, na wavivu waliozubaa!
Wakenya wanafahamika kwa ubunifu na kujua kuchangamkia fursa ndani na nje ya mipaka ya nchi yao!
Wanigeria wanasifika kwa ujasiri na unanjaujanja mwingi. Ukizubaa unatapeliwa.
Tukirudi nchini kwetu, karibia kila kabila lina sifa inayolitambulisha:
1. Wakurya: ujasiri, ukorofi
2. Wachaga: wapenda biashara na kubebana kwenye fursa
3. Wakinga: wabishi, wafanyabiashara, na hasira
4. Waha: wabishi na wapenda biashara ya maduka
5. Wazaramo: wapenda Ngoma, waongeaji sana
6. Wahaya: wapenda Elimu/usomi
7. Wamasai na Wasukuma: wafugaji maarufu
Nini kilichowafanya watu wa jamii fulani kuwa na tabia inayowatofautisha na jamii zingine? Ni suala la DNA, kwamba wamezaliwa nazo?
Ni suala la kimazingira na kimalezi, kwamba wamejifunza?
Inawezekana kufanya uwekezaji kubadilisha tabia hasi za jamii fulani kwa maslahi mapana ya jamii husika na Taifa kwa ujumla?
Wakenya wanafahamika kwa ubunifu na kujua kuchangamkia fursa ndani na nje ya mipaka ya nchi yao!
Wanigeria wanasifika kwa ujasiri na unanjaujanja mwingi. Ukizubaa unatapeliwa.
Tukirudi nchini kwetu, karibia kila kabila lina sifa inayolitambulisha:
1. Wakurya: ujasiri, ukorofi
2. Wachaga: wapenda biashara na kubebana kwenye fursa
3. Wakinga: wabishi, wafanyabiashara, na hasira
4. Waha: wabishi na wapenda biashara ya maduka
5. Wazaramo: wapenda Ngoma, waongeaji sana
6. Wahaya: wapenda Elimu/usomi
7. Wamasai na Wasukuma: wafugaji maarufu
Nini kilichowafanya watu wa jamii fulani kuwa na tabia inayowatofautisha na jamii zingine? Ni suala la DNA, kwamba wamezaliwa nazo?
Ni suala la kimazingira na kimalezi, kwamba wamejifunza?
Inawezekana kufanya uwekezaji kubadilisha tabia hasi za jamii fulani kwa maslahi mapana ya jamii husika na Taifa kwa ujumla?