Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

nahama dar narudi mbeya kwetuuuuuuuuu maana mmezid utani kweli JPM YUPO HAPA
 
Nimesikitishwa sana na huyu mtoa mada tatizo lako ni wivu wa kike tu sio wote mkuu
 
Ya mwezi mmetuandama sana wanaume wa dar sijui tumewakosea sana mbona tukija huko shamba mnatushobokea sana na hatusemi
 
72bb68fcdfd0daf7723e163af3ca7656.jpg
 
Siku hizi hakuna wanaume Wa shoka, miaka kadhaa ijayo wanetu watapa shida sana, maana hata sasa lazima wastue na viroba
 
Yani mie binti angu sjui atapata nani hata wa kumfikisha peak,vijivulana ninabyoviona ni kunywa juisi azam na chips?Shame upon all Dar parents,Juisi ya azam jamani ukuni utasmamaje?Chips kweli unaweza kumfikisha mwanangu kileleni?
 
Yani mie binti angu sjui atapata nani hata wa kumfikisha peak,vijivulana ninabyoviona ni kunywa juisi azam na chips?Shame upon all Dar parents,Juisi ya azam jamani ukuni utasmamaje?Chips kweli unaweza kumfikisha mwanangu kileleni?
Hivi huko Dsm ndio kuna wanaume njoo mikoan uone
 
Tumia muda huu kumshauri yeyote unayemjua dar kutembea vizuri na kwa haraka. Pia tufanyie yoba kwa Mungu atusamehe tunamtia aibu.
Sasa na joto lote hilo, mtu atembee haraka ili iweje, kama unataka kutembea haraka nenda huko Mufindi, Makambako, Njombe na maeneo mengine kama hayo.
 
Yani mie binti angu sjui atapata nani hata wa kumfikisha peak,vijivulana ninabyoviona ni kunywa juisi azam na chips?Shame upon all Dar parents,Juisi ya azam jamani ukuni utasmamaje?Chips kweli unaweza kumfikisha mwanangu kileleni?
Naomba namba yake ya simu.
 
Inakuwaje wanaume wa Dar tunatembe kimdebwedo kiasi hichi? Biblia yangu inasema tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, siamini hata kidogo Mungu anatembea kivivu namna hii (walking aimlessly) wengine hujui kama wanarudi au wanaenda walikotokea. Kuna baadhi ya vitabu vina associate mwendo wa mtu na thinking capacity.

Tembea actively, kuwa sharp vuka barabara haraka pia fanya mazoezi ya kutembea au jogging mara kwa mara kula vizuri ili uwe na mwili mzuri mwanaume anakuwa na mtumbo mkubwa na tumbo la nyuma/big bottom(nimakata ukali wa neno) utazanishia kifusi matokeo yake mtu anakuwa kama gogo.

Sasa kuna wengine kutembea na kuzungumza vinalandana hili ndio balaa zaidi.
Siku dem wako akitia timu dar.. andika maumivu.. atakutana na sausage hatareeeee
 
Ni kweli mkuu baadhi ya wanaume wa Dar Wakija mikoani wanapenda kulelewa kwa mfano hapa arusha wanaume wa Dar Wengi Wao wana tabia ya kulelewa na wanawake alafu ni wambea yani kila kitu ukimwambia anasema , mwanau Hawez hata kujishughulisha anamtegemea mwanamke yy anachojua ni mechi ya 6 x 6 na ukikaa vibaya anatembea had na marafiki zako. Hapa arusha wanawake Wengi wanalalamika kuwa wanaume wa Dar wanapenda kulelewa. Na ukiishiwa wanakuacha wanahamia kwa mwanamke mwingine.
[emoji1] ni ma gold diggers wa kiume
 
Back
Top Bottom