Tabia utakazokutana nazo JF.

11. Kuna mijanaume yenye tabia za kike... kazi kuwasema wanaume wenzao... haya ndo post yoyote lazima yaandike "wanaume wa Dar"

Nimewaza mwanaume akisema 'mijanaume' nkaunganisha na apa 'tabia za kike' nkawakumbuka hizi hali utazikuta kwa wanaume wa Dar tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…