Tabia ya ajabu niliyojifunza kwa wanawake wa Mwanza

Tabia ya ajabu niliyojifunza kwa wanawake wa Mwanza

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Huu mji una mademu wazuri kiasi si sana

Mademu wakali either wanaasili ya Musoma au Kagera ambayo ni mikoa jirani. Mademu wa Mwanza wako vizuri katika kugawa namba ya simu ila cha ajabu hawajui umuhimu wa simu, demu ukimuomba namba hakatai ila sasa ujue utapiga sana simu hutapokelewa.

Mbinu pekee ya kuwakomesha hawa viumbe ukimtongoza hakikisha unaondoka nae hapohapo au ujue nyumbani kwake umtilie timu ila namba pekee haitakusaidia.

Mademu wa Dar akikupa namba ataonyesha ushirikiano ikiwa ni pamoja na kutajiwa shida zake ili umsaidie
 
Huu mji una mademu wazuri kiasi si sana
Mademu wakali either wanaasili ya musoma au kagera ambayo ni mikoa jirani
Mademu wa mwanza wako vizuri katika kugawa namba ya simu ila cha ajabu hawajui umuhimu wa simu,demu ukimuomba namba hakatai ila sasa ujue utapiga sana simu hutapokelewa,
Mbinu pekee ya kuwakomesha hawa viumbe ukimtongoza hakikisha unaondoka nae hapohapo au ujue nyumbani kwake umtilie timu ila namba pekee haitakusaidia.
Mademu wa Dar akikupa namba ataonyesha ushirikiano ikiwa ni pamoja na kutajiwa shida zake ili umsaidie
Wadsm ni balaaa wana njaa ya pesa..microfinance zikasome.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huu mji una mademu wazuri kiasi si sana
Mademu wakali either wanaasili ya musoma au kagera ambayo ni mikoa jirani
Mademu wa mwanza wako vizuri katika kugawa namba ya simu ila cha ajabu hawajui umuhimu wa simu,demu ukimuomba namba hakatai ila sasa ujue utapiga sana simu hutapokelewa,
Mbinu pekee ya kuwakomesha hawa viumbe ukimtongoza hakikisha unaondoka nae hapohapo au ujue nyumbani kwake umtilie timu ila namba pekee haitakusaidia.
Mademu wa Dar akikupa namba ataonyesha ushirikiano ikiwa ni pamoja na kutajiwa shida zake ili umsaidie

Nimecheka kwa sauti.
 
Mbona kama umeandika kinyume? Wengi wao huwa wana tabia ya kusema hawana simu...huwa sasa hiv nawachana tu kuwa achen usukuma...kugawa namba haimaanish ndo kwenda kukutanish ..vi...joleo
 
Mbona kama umeandika kinyume?weng wao huwa wana tabia ya kusema hawana simu...huwa sasa hiv nawachana tu kuwa achen usukuma...kugawa namba haimaanish ndo kwenda kukutanish ..vi...joleo
Uko sahihi hao ni wale under 22 husema hawana simu ila hawa dada zao namba wanatoa ila kupokea sasa mtihani
 
Unataka kusema mademu wa mwanza washamba au vp
 
Back
Top Bottom