Tabia ya Gen Z kupenda kuongea na simu mpaka usiku mnene ni kawaida au ni huyu wa kwangu tu?

Tabia ya Gen Z kupenda kuongea na simu mpaka usiku mnene ni kawaida au ni huyu wa kwangu tu?

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Binti mdogo wake na wife kaja kututembelea baada ya yeye kumaliza shule (kidato cha nne). Dogo alivyofika alikuwa mpole sana as days goes on naona anazidi kucharuka anaongea na simu mpka usiku mnene. Nishamwambia wife aongee nae anasema anaogopa atamkwaza na itaonekana anamnyima uhuru.

Jana dogo kaongea na simu mpka saa nane usiku. Nakuja kustuka usingizini nasikia mtu anaongea na simu moyoni nikasema huyu binti hanijui. Asubuhi kumekucha ikabidi nimkalishe chini nimpe orientation ya kuishi kwenye nyumba yangu mbele ya dada yake. Akaomba msamaha yakaisha.

Hawa mabinti wanapata wapi huu ujasiri? Watu wamelala yeye anajiachia story kama mchana vile? Japo kuna Gipsum bado sauti yake iliniamsha.

Ni huyu wa kwangu tu au na wa kwenu wapo hivyo?

NB😀ogo ana miaka 18 tu.
 
Wote wako hivyo ndio starehe Yao
Umefanya vizuri endelea kumrekebisha huwa vinapenda sana mtu anaevipa muongozo kuliko anaviacha viende Bora liende amini katakupenda Cha msingi usiwe na udikteta
#unawezahatakupigakidogo#
 
Wote wako hivyo ndio starehe Yao
Umefanya vizuri endelea kumrekebisha huwa vinapenda sana mtu anaevipa muongozo kuliko anaviacha viende Bora liende amini katakupenda Cha msingi usiwe na udikteta
#unawezahatakupigakidogo#

Mtu akiwa anaongea na simu usiku kwa raha zake changamoto iko wapi?
 
Kwahiyo unafatilia maongezi yake??
Wewe una nia ovu, huo muda ulitakiwa umbambie mkeo lakini ulivyo na karoho ka uzinzi ndani yako uko busy kujua anaongea na nani??

Na lazima alikuwa anaongea na wapenzi wake ndo kilichokuuma 😹😹😹
 
Kwahiyo unafatilia maongezi yake??
Wewe una nia ovu, huo muda ulitakiwa umbambie mkeo lakini ulivyo na karoho ka uzinzi ndani yako uko busy kujua anaongea na nani??

Na lazima alikuwa anaongea na wapenzi wake ndo kilichokuuma 😹😹😹
Nidhamu ni muhimu sana ataongeaje kwa kujiachia ugenini?
 
Yaanii woote wako hivyo mkuu.....hadi saa 8 ndio wanaachia simu....usumbufu kama wanalala na wemgine.....muda wite earpod sikioni yaani shida tiktok full time....kutongozwa imekuwa rahisi sana maana vinapenda ku chat masaa 24....safari yao ndefu sanaa tuwaongoze ushauri mara kwa mara....
 
Hakuna lolote huyo anamfatilia shemeji yake, hii ni Cuba zaidi.!!
Looh 😅
Hii hali tumepitia wengi aisee, mapenzi ya kitoto, nakumbuka mwaka 2008 nilienda shule fulani International school ipo maeneo ya Mikocheni.

Nilienda na wenzangu tukawa tunaongea na wanafunzi mwisho wa siku kuna kibinti kikaomba namba yangu, kilivyorudi likizo Dec aisee hizo simu kilikuwa kinapiga aisee. Nikasema ngoja niku seduce kabisa.

Hapo nikawa nimefungulia simu mpaka saa nane na dk 37 usiku nikitaka kukata kanakasilika nikakaambia hebu njoo basi home.

Kuna siku kakaja, kumbe ndio nilikuwa wa kwanza na ishu ilikuwa ngumu kwenye kutoa sealed 😂😂😂

At that nadhani alikuwa ni 16 au 17.
 
Looh 😅
Hii hali tumepitia wengi aisee, mapenzi ya kitoto, nakumbuka mwaka 2008 nilienda shule fulani International school ipo maeneo ya Mikocheni.

Nilienda na wenzangu tukawa tunaongea na wanafunzi mwisho wa siku kuna kibinti kikaomba namba yangu, kilivyorudi likizo Dec aisee hizo simu kilikuwa kinapiga aisee. Nikasema ngoja niku seduce kabisa.

Hapo nikawa nimefungulia simu mpaka saa nane na dk 37 usiku nikitaka kukata kanakasilika nikakaambia hebu njoo basi home.

Kuna siku kakaja, kumbe ndio nilikuwa wa kwanza na ishu ilikuwa ngumu kwenye kutoa sealed 😂😂😂

At that nadhani alikuwa ni 16 au 17.
Umeanza chai zako 😹😹
 
Shida umezalia enzi za amphibia huko sijui enzi za mapunye utajua mwenyewe!.
Hizo nyakati tumepitia ni kawaida kabisa yupo ktk foolish age, hisia zake kwasasa zipo too hot! hapo alipo anawish vitu kibao hajui hata ashike kipi!.

Sasa nitakufundisha namna yakudilinae perpendicular!.. kwanza unachotakiwa kufanya ni kumpa elimu ya ujinsia,muelekeze vitu vyakuzingatia kwasasa tena ikibidi mpe na mifano hao mwambie ukweli wote hata akija kuyakanyaga akose wa kumlaumu ila nyinyi mlifanya kazi yenu vilivyo!.
nakuambia hivi kwasababu hautaweza kumzui si umemkataza kuongea basi atachati na kwenye kuchati nyege ambavyo hazina adabu kama anasimu kubwa atalitumia hadi uchi hilo zwazwa lake!.

Kaaeni chini ongeeni na watoto wenu ukweli ikibidi wawekeni busy na maisha mapema sio mtoto anamaliza shule basi unamuweka tu!, tutammimba sisi shauli zenu!.
 
Back
Top Bottom