Tabia ya Kiasili ya 'Kijamaa' tuliyonayo Watanzania tunapokuwa nje ya nchi ina faida kwetu au inatufunga kimaarifa na kimaendeleo?

Kaka mkubwa Nyonzo bin Mvule safarini sauzi afrika.

Pole Sana kwa maswahibu, ila mshukuru Sana Mungu bado u hai.
Nashukuru ndugu yangu ila sijakuona siku mbili tatu,,, ndo kama hivyo kaka dunia uwanja wa fujo, yani walimwengu wasikuone unabadili mashati na kutomlilia mtu njaa, ukifanya hivyo tu wanajua una hela,,,
 
Mkuu asante sana,, malipo hapa hapa duniani
 
Nashukuru ndugu yangu tuko pamoja na sasa naendelea vizuri tu
 

Hawa wote uliowaorodhesha hapa wametobowa maisha, wewe peke yako ndio umebaki kuwa tantalizer wa JF, jiangalie na ujitasmini unakosea wapi?
 
Mimi nimewahi kulizwa malakar SS nikaja kuokolewa na gari za UNHCR.
Pia ndugu zangu wa kitanzania waliniliza Kerk and nugget Jo'burg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…