Tabia ya kubambikiwa kesi

Tabia ya kubambikiwa kesi

Pole kwa yaliyokukuta. Inabidi hii ije pia na huku kwetu.Ilikuwepo kigoma (maeneo ya Kasulu)hii ilikomesha sana uzinzi.Unamtongoza mke wa mtu wanaongea na mumewe jinsi watakavyo tajirika kupitia tamaa yako.Na ukijichanganya unafirisika kwa kesi ya ugoni
Boy mim police nimepangiwa Zanzibar ningetaka kuwafanyia watu ujinga ningeshafanya ivyo sina ROHO ya umaskini
 
Back
Top Bottom