skills man
Member
- Nov 10, 2024
- 89
- 236
Baadhi ya maeneo Zanzibar wanatabia ya kishenzi wanategesha mabinti ana miaka 30 unaambiwa umembaka aidha utoe million 8 au umuoe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mana kesi unaona nyingi za ubakaji washenzi sanaNaunga mkono
Hoja
washenzi sana aisee sijui ni nchi au niniNdo mana kesi unaona nyingi za ubakaji washenzi sana
Alafu mabinti wakubwa hawaolewi wapo nyumban kumbe ni mitajiHuo mkoa ni
washenzi sana aisee sijui ni nchi au nini
Wanajifanya swala Tano hawana utu moyoni kesi za kusingizia ni nyingiWanawake kule viwili ni shida!
Wanacheza bao mda woteWavivu kufanya kazi Hadi kufikiri!
Ndio tulioungana nao hao
Hawaolewi tena?? Huko si mwanaume anaruhusiwa kuoa bibi 4 ili kuwasitiri.Alafu mabinti wakubwa hawaolewi wapo nyumban kumbe ni mitaji
Zipo nyingi sana unajiuliza Hawa wabakaji Awana akilinkumbe ni mtegoHii ni kweli kesi za huko au Tanga unaweza kusikia mtu kabaka kumbe ni mtego ,ukikutwa na mtoto wa mtu getto utashangaa unapewa kosa jingine.
Boy mim police nimepangiwa Zanzibar ningetaka kuwafanyia watu ujinga ningeshafanya ivyo sina ROHO ya umaskiniPole kwa yaliyokukuta. Inabidi hii ije pia na huku kwetu.Ilikuwepo kigoma (maeneo ya Kasulu)hii ilikomesha sana uzinzi.Unamtongoza mke wa mtu wanaongea na mumewe jinsi watakavyo tajirika kupitia tamaa yako.Na ukijichanganya unafirisika kwa kesi ya ugoni
Kalaga Baho Nongwa umeiskia hii?? kaa chonjoBaadhi ya maeneo Zanzibar wanatabia ya kishenzi wanategesha mabinti ana miaka 30 unaambiwa umembaka aidha utoe million 8 au umuoe.