Tabia ya kubambikiwa kesi

Tabia ya kubambikiwa kesi

Baadhi ya maeneo Zanzibar wanatabia ya kishenzi wanategesha mabinti ana miaka 30 unaambiwa umembaka aidha utoe million 8 au umuoe.
Dah, Pole mkuu.
Ungetusanua kisa kizima tusije kunasa tukitembelea huko
 
Nahisi na raisi tuliyo nayo tumebambikiwa hapa
 
Pole kwa yaliyokukuta. Inabidi hii ije pia na huku kwetu.Ilikuwepo kigoma (maeneo ya Kasulu)hii ilikomesha sana uzinzi.Unamtongoza mke wa mtu wanaongea na mumewe jinsi watakavyo tajirika kupitia tamaa yako.Na ukijichanganya unafirisika kwa kesi ya ugoni
Aisee
 
Kuna kipindi nilienda zanzibar huko kwa wapemba aloo watoto wao wazur sana bwana walain balaa hawajui kukataa
 
Zipo nyingi sana unajiuliza Hawa wabakaji Awana akilinkumbe ni mtego
... mkifika nchi za watu jengeni kwanza urafiki na wanaume wenzenu ili muifahamu njia!
Sio unafika nchi ya watu asubuhi, jioni uibuke na binti 'catalogue', MTALOGWA!
 
Baadhi ya maeneo Zanzibar wanatabia ya kishenzi wanategesha mabinti ana miaka 30 unaambiwa umembaka aidha utoe million 8 au umuoe.
Maeneo gani niko hapa Unguja kwa mchina natafuta mke niende nikabambikiwe niozeshwe.
 
Back
Top Bottom