Tabia ya kubambikiwa kesi

Baadhi ya maeneo Zanzibar wanatabia ya kishenzi wanategesha mabinti ana miaka 30 unaambiwa umembaka aidha utoe million 8 au umuoe.
Sio kumbuka tuu lazima kwanza ubadilishe dini. Wanaua ndege wawili kwa jiwe Moja . Wanaondoa mzigo kwenye familia na kuieneza dini ya mnyaanzi ambayo Moja wapo ya technics ya kuieneza ni kutegeshewa mabinti. Siku ya ndoa wanakuvisha mavazi ya kiarabu na kikubebesha majambia na kukujaza upepo eti "umependeza" πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
🀣 watu mnamengi na mmeyaficha..🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…