Little Dreamer
Senior Member
- Sep 12, 2017
- 180
- 162
Habari wadau, nikiwa Kama kijana naepambana katika kizazi hiki Cha teknolojia, Mimi ni mdau mkubwa Sana wa mitandao ya kijamii, na ni miongoni mwa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii kujipatia kipato.
Moja ya vitu nilivyo vi observe na nikaona vinatugharimu Sana hasa kwenye mtandao wa Instagram na Facebook ni tabia ya kupost kwenye account za kibiashara post ambazo hazihusiani na biashara husika. Yaani mfano, mtu anadeal na ujenzi au uchoraji ramani lakini humo ndani kapost memes ambazo hata hazihusiani na kazi ya ujenzi.
Au mtu anahusika na uuzaji wa magari lakini humo ndani anapost kuhusu topics za mahusiano na jokes mbalimbali ambazo "they have nothing to do with the business" Au mtu anauza nguo lakini humo Tena anatoa ushauri kuhusu mapenzi, Mara anapost videos za ajali n.k
Hakuna shida na memes Wala Mada nyingine za mitandaoni, Ila wateja au wafuasi wa mitandao wanafatilia post husika kwa kuvutiwa na huduma zinazoonekana kwa account, kupost both visivyohusiana kutawafanya baadhi ya wateja kukereka kwa nanna moja ama nyingine na inaweza kuwa changamoto ya biashara kufanikiwa.
Ushauri wangu kwa wafanyabiashara wanaotumia mitandao, ni bora kubakia kwenye lengo kuu la akaunti zetu, na Kama lengo ni kuvutia wateja kupitia ucheshi n.k, ni bora kutumia ubunifu kwa kutengemeza content inayohusiana na biashara yako na kuweka ucheshi ndani yake, Kama huna uwezo huo Basi sio vibaya kujifunza, hivo ndivyo tunavyokua.
Naomba kuwasilisha!
Moja ya vitu nilivyo vi observe na nikaona vinatugharimu Sana hasa kwenye mtandao wa Instagram na Facebook ni tabia ya kupost kwenye account za kibiashara post ambazo hazihusiani na biashara husika. Yaani mfano, mtu anadeal na ujenzi au uchoraji ramani lakini humo ndani kapost memes ambazo hata hazihusiani na kazi ya ujenzi.
Au mtu anahusika na uuzaji wa magari lakini humo ndani anapost kuhusu topics za mahusiano na jokes mbalimbali ambazo "they have nothing to do with the business" Au mtu anauza nguo lakini humo Tena anatoa ushauri kuhusu mapenzi, Mara anapost videos za ajali n.k
Hakuna shida na memes Wala Mada nyingine za mitandaoni, Ila wateja au wafuasi wa mitandao wanafatilia post husika kwa kuvutiwa na huduma zinazoonekana kwa account, kupost both visivyohusiana kutawafanya baadhi ya wateja kukereka kwa nanna moja ama nyingine na inaweza kuwa changamoto ya biashara kufanikiwa.
Ushauri wangu kwa wafanyabiashara wanaotumia mitandao, ni bora kubakia kwenye lengo kuu la akaunti zetu, na Kama lengo ni kuvutia wateja kupitia ucheshi n.k, ni bora kutumia ubunifu kwa kutengemeza content inayohusiana na biashara yako na kuweka ucheshi ndani yake, Kama huna uwezo huo Basi sio vibaya kujifunza, hivo ndivyo tunavyokua.
Naomba kuwasilisha!