Papasitis?
On a serious note, pengine ni tabia tu aliyojijengea bila sababu maalum, au ana:-
1,Anxiety disorder (wasiwasi).
2, Tourette Syndrome- kupepesa macho mara kwa mara, kukohoa hoa mara kwa mara kama vile kuna kitu kimenasa kooni, kunusa nusa hovyo hovyo, kuongea bila kukusudia mara kwa mara ni lugha chafu (coprolalia), mienendo ya mikono/mabega ambayo hayana sababu maalum (motor tics). NK.
3, Obsessive Compulsive Disorder (OCD): Kwenye compulsion kuna kitu kinaitwa "repeatitive ritualistic activities" yaani ni vitu mtu anafanya mara kwa mara ambavyo havina maana yeyote kwa mtu mwingine, anaweza kugusu paji la uso mara tatu kufuatia na kusafisha koo na kuguna mara mbili. Hii inamsaidia kupunguza wasiwasi.
Kama hiyo tabia haimdhuru yeye binafis au watu wengine basi hakuna shida hapo.