Sunshow
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,140
- 395
Kuna jamaa mmoja kila mara hujipiga piga usoni na kujipapasa kana kwamba kuna wadudu wanamshambulia. Haiwezi kupita sekunde ishirini bila kurudia kitendo hicho. Najiuliza huu ni ugonjwa gani na tiba yake ni ipi?
Mkiwa kwenye maongezi anakuwa kero.
Watu wake wa karibu wanasema hii tabia amekuwa nayo toka kitambo.
Mkiwa kwenye maongezi anakuwa kero.
Watu wake wa karibu wanasema hii tabia amekuwa nayo toka kitambo.