Tabia ya kulala kanisani

Tabia ya kulala kanisani

makilo

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
2,620
Reaction score
5,260
HAYA NDIO MADHARA YA KULALA KANISANI

Kanisani leo kuna mdada alikuwa amelala, akaamka akasikia Pastor anasema
"SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama!

Pastor akaendelea vizuri endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
"kama wewe umewahi kusaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti amezimia hadi muda huu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
aliza ndio ibada inaisha nini... wanasimama ili waombe
 
HAYA NDIO MADHARA YA KULALA KANISANI

Kanisani leo kuna mdada alikuwa amelala, akaamka akasikia Pastor anasema
"SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama!

Pastor akaendelea vizuri endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
"kama wewe umewahi kusaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti amezimia hadi muda huu!
Hatari kubwa
 
Back
Top Bottom