ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
Wanaume hatujaumbwa hivyo. Mwili wa binadamu umetengenezwa kitaalamu Sana. Kila kitu kinakuwa controlled au regulated na Ubongo
Ubongo ndo kila kitu. Kwenye ubongo kukiwa na matatizo, madhara yanaonekana kwenye viungo vya mwili.
Ukosefu wa baadhi ya madini kama magnesium, zinc, calcium yanasababisha control centre ya ubongo kuwa dhaifu hence unakosa uwezo wa uamuzi.
Kitendo cha m wanaume kupenda kulala na wanawake wengi, wengi ni ukosefu wa akili, ni dalili kwamba ubongo wako hauko sawa. Ni ugonjwa. Unahitaji matibabu.
Ubongo wenye afya unakuwa na control centre yenye nguvu. Huwezi kuburuzwa na kila mwanamke. Kama una Tabia hizi, jitahidi kuwaona Wataalam wa ubongo
Tena hii tabia ya m wanaume mmoja kulala na wanawake wengi wengi iko Africa sana, mabara mengine sio sana
Ubongo ndo kila kitu. Kwenye ubongo kukiwa na matatizo, madhara yanaonekana kwenye viungo vya mwili.
Ukosefu wa baadhi ya madini kama magnesium, zinc, calcium yanasababisha control centre ya ubongo kuwa dhaifu hence unakosa uwezo wa uamuzi.
Kitendo cha m wanaume kupenda kulala na wanawake wengi, wengi ni ukosefu wa akili, ni dalili kwamba ubongo wako hauko sawa. Ni ugonjwa. Unahitaji matibabu.
Ubongo wenye afya unakuwa na control centre yenye nguvu. Huwezi kuburuzwa na kila mwanamke. Kama una Tabia hizi, jitahidi kuwaona Wataalam wa ubongo
Tena hii tabia ya m wanaume mmoja kulala na wanawake wengi wengi iko Africa sana, mabara mengine sio sana