Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Ila itabidi na Mimi nikuongezee mmoja
Wa 8 mana ss hivi nna mimba ya mtoto wa saba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila itabidi na Mimi nikuongezee mmoja
😂😂😂 DuuuhWa 8 mana ss hivi nna mimba ya mtoto wa saba
Jibu perfectUkiona 99% ya watu wana matatizo ya akili, tambua wewe na hao 1% ndio mna matatizo ya akili
Anaachaje wakati ulimfundisha mwenyewe?Acha bhangi
Kwahiyo unataka kusema kuwa watanzania wengi watakuwa hawana akili...Wanaume hatujaumbwa hivyo. Mwili wa binadamu umetengenezwa kitaalamu Sana. Kila kitu kinakuwa controlled au regulated na Ubongo
Ubongo ndo kila kitu. Kwenye ubongo kukiwa na matatizo, madhara yanaonekana kwenye viungo vya mwili.
Ukosefu wa baadhi ya madini kama magnesium, zinc, calcium yanasababisha control centre ya ubongo kuwa dhaifu hence unakosa uwezo wa uamuzi.
Kitendo cha m wanaume kupenda kulala na wanawake wengi, wengi ni ukosefu wa akili, ni dalili kwamba ubongo wako hauko sawa. Ni ugonjwa. Unahitaji matibabu.
Ubongo wenye afya unakuwa na control centre yenye nguvu. Huwezi kuburuzwa na kila mwanamke. Kama una Tabia hizi, jitahidi kuwaona Wataalam wa ubongo
Tena hii tabia ya m wanaume mmoja kulala na wanawake wengi wengi iko Africa sana, mabara mengine sio sana
Mleta mada chukua madini hayaWatakuuliza Suleiman alikuwa mgonjwa wa akili? Sio imenenwa ndiye binadamu aliyewahi kuwa na hekima zaidi? Tena kwamba kabla na baada yake hatatokea wa mfano wake kwa hekima?
ukikisoma kitabu cha MHUBIRI ambacho alikiandika Sulemani utagundua naye alikuwa na tatizo la ubongo. Soma uone alivyosema "kila kitu ni ubatili mtupu" na kujilisha upepo.Watakuuliza Suleiman alikuwa mgonjwa wa akili? Sio imenenwa ndiye binadamu aliyewahi kuwa na hekima zaidi? Tena kwamba kabla na baada yake hatatokea wa mfano wake kwa hekima?
wengi hawajui kuwa Sulemani alimaliza vibaya sana! hao hao wanawake walimponzaMfalme Suleiman dishi liliyumba ndiyo maana mwishoni alijutia makosa yake
1 Wafalme 11 (Biblia Takatifu)Kwamba mfalme Suleiman alikuwa
dishi limeyumba!? Maake tunaambiwa alikuwa bingwa wa kuwakaza wanawake
Huo ni ushahidi kuwa huyu mutu hakuwa na akili nzuri.1 Wafalme 11 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³ Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo.
⁴ Maana ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza moyo wake, afuate miungu mingine, wala moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana, Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.
⁵ Kwa kuwa Sulemani akamfuata Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni na Milkomu, chukizo la Waamoni.
⁶ Sulemani akafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wala hakumfuata Bwana kwa utimilifu, kama Daudi baba yake.
⁷ Sulemani akamjengea Kemoshi, chukizo la Wamoabi, mahali pa juu, katika mlima uliokabili Yerusalemu, na Moleki, chukizo la wana wa Amoni.
⁸ Na kadhalika ndivyo alivyowafanyia wake zake wa nchi za kigeni, waliofukiza uvumba, wakawatolea miungu yao dhabihu.
⁹ Basi Bwana akamghadhibikia Sulemani kwa sababu moyo wake umegeuka, naye amemwacha Bwana, Mungu wa Israeli, aliyemtokea mara mbili,
¹⁰ akamwamuru katika habari ya jambo lilo hilo asifuate miungu mingine; lakini yeye hakuyashika aliyoyaamuru Bwana.
¹¹ Kwa hiyo Bwana akamwambia Sulemani, Kwa kuwa umefanya hayo, wala hukuyashika maagano yangu, na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme usiwe wako, nami nitampa mtumishi wako.
1 Wakorintho 7 (Biblia Takatifu)Wewe lazima utakuwa mgalatia ungekuwa mvaa kobazi usinge bwabwaja haya.
Hakuna mahali penye biblia panapoongelea mke mmoja.
Nenda kwenye zizi la ng'ombe dume moja linahudumia majike 20
Mwanamke au wewe ukitoa mbegu za kiume zinatoka millioni 300 mwanamke ni yai moja tu
Angalia sana mababu zetu waliooa wake zaidi ya mmoja waliishi maisha marefu lakini sis siku hizi tunakata uzi mapema hawa wakina dada ukishaanza kuzeeka wanahamishia mapenzi kwa watoto wao take care.
Ibrahim angekuwa na mke mmoj si ajabu wewe usingekuwepo duniani
Sio kweli. Angalia kwenu kama baba/babu alikuwa nayo, kuikwepa ni mpaka uwe muombaji haswa.Mwanaume kaumbwa kutomb* tena na tena na tenaa... There is power in kutom*a kwa mwanaume.
Kufanya sana kwa mwanaume inaondoa risk ya kupata tezi dume.
Rejea hayo maneno "KILA KITU". Yanamhusu yeye tu au kila mtu? Yanahusu kuwa na wanawake wengi tu au kila kitu?ukikisoma kitabu cha MHUBIRI ambacho alikiandika Sulemani utagundua naye alikuwa na tatizo la ubongo. Soma uone alivyosema "kila kitu ni ubatili mtupu" na kujilisha upepo.
YESU NDIYE KRISTO
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."Wanaume hatujaumbwa hivyo. Mwili wa binadamu umetengenezwa kitaalamu Sana. Kila kitu kinakuwa controlled au regulated na Ubongo
Ubongo ndo kila kitu. Kwenye ubongo kukiwa na matatizo, madhara yanaonekana kwenye viungo vya mwili.
Ukosefu wa baadhi ya madini kama magnesium, zinc, calcium yanasababisha control centre ya ubongo kuwa dhaifu hence unakosa uwezo wa uamuzi.
Kitendo cha m wanaume kupenda kulala na wanawake wengi, wengi ni ukosefu wa akili, ni dalili kwamba ubongo wako hauko sawa. Ni ugonjwa. Unahitaji matibabu.
Ubongo wenye afya unakuwa na control centre yenye nguvu. Huwezi kuburuzwa na kila mwanamke. Kama una Tabia hizi, jitahidi kuwaona Wataalam wa ubongo
Tena hii tabia ya m wanaume mmoja kulala na wanawake wengi wengi iko Africa sana, mabara mengine sio sana
Peleka moto wapelekee motoWanaume hatujaumbwa hivyo. Mwili wa binadamu umetengenezwa kitaalamu Sana. Kila kitu kinakuwa controlled au regulated na Ubongo
Ubongo ndo kila kitu. Kwenye ubongo kukiwa na matatizo, madhara yanaonekana kwenye viungo vya mwili.
Ukosefu wa baadhi ya madini kama magnesium, zinc, calcium yanasababisha control centre ya ubongo kuwa dhaifu hence unakosa uwezo wa uamuzi.
Kitendo cha m wanaume kupenda kulala na wanawake wengi, wengi ni ukosefu wa akili, ni dalili kwamba ubongo wako hauko sawa. Ni ugonjwa. Unahitaji matibabu.
Ubongo wenye afya unakuwa na control centre yenye nguvu. Huwezi kuburuzwa na kila mwanamke. Kama una Tabia hizi, jitahidi kuwaona Wataalam wa ubongo
Tena hii tabia ya m wanaume mmoja kulala na wanawake wengi wengi iko Africa sana, mabara mengine sio sana
jisomee kitabu cha MHUBIRI, utagundua mengi. Anzia na kitabu cha 1WAFALME mlango wa 11 woteRejea hayo maneno "KILA KITU". Yanamhusu yeye tu au kila mtu? Yanahusu kuwa na wanawake wengi tu au kila kitu?
Mbona maneno hayo yanaonesha utimamu wa akili wa Suleiman kuliko kunyume chake? Kama kwa maneno hayo ni tatizo la ubongo, sijui wengine tukoje.