Tabia ya kuvuna mawingu huenda ndiyo imesababisha mafuriko ya Dubai

Sayansi ni ujuzi ambao mwanadamu amepewa na Mungu mwenyewe hivyo taifa lililo mbele kisayansi ni taifa ambalo lina baraka ya Mungu na mtu hawezi akatudanganya tuamini kinyume chake. Never.
Maarifa ukiyatumia vibaya sio baraka ila ni ushetani na kumkera muumba unaamini transgender ni baraka za Mungu au ushetani mpya
 
Maarifa ukiyatumia vibaya sio baraka ila ni ushetani na kumkera muumba unaamini transgender ni baraka za Mungu au ushetani mpya
Transgender hapana, naongelea zaidi maendeleo hasa ktk mambo ya teknolojia.
 
Kwa maji yale mitaani na kwenye majumba je kwa wenye vifaa vya umeme si ndo wanaanza upya,magenerators, maduka ya simu, majokovu, TV, Laptop nk nk.
 
Kwa maji yale mitaani na kwenye majumba je kwa wenye vifaa vya umeme si ndo wanaanza upya,magenerators, maduka ya simu, majokovu, TV, Laptop nk nk.
Ilikuwa ni trela tu.Warudie tena ujinga waone kitakachowapata.
Kwani hapo zamani ilipokuwa jangwa walikosa nini.Na walichokipata kwani n nani aliyewapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…