Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Hii tabia ya kuwapandisha omba omba ambao ni watu sio kwamba nawachukia au kuwahukumu ingawa maisha yao duni yanachukiza kwa yoyote anayechukia umaskini; Ila tabia ya kuwapandisha daladala au kuwaingiza sehemu kwa ajili ya kuomba hela sio sawa wengine vipofu.
Watu wasipomsaidia je? Na pia watu hata Km hela tunazo hatuwezi kutoa kila saa au kila siku coz TZ 80% masikini wa kufa ingawa wengi hawaombi Ombi Bali wanahangaika na kazi duni. Hawa vilema ambao wanaomba omba wapewe sehemu yao rasmi ya kuwapa Msaada Km vituo vya watoto yatima.
Sio barabarani au kuingia kw mabasi au barabarani ambao ni hatari sana sana kwa vilema ya macho au viungo. Pia wengine wanakuja kwa nembo ya kuhubiri Yesu au Allah Kisha kuomba hela( Cjui why uyo Mungu hasaidii kitu) Jaman umaskini unachefua nataman wote tupotee tu.
Cjui hao wanaoweza kuamini Mungu wanamchukuliaje uyu Jamaa yupo kimya tu na majanga kila kona.
Watu wasipomsaidia je? Na pia watu hata Km hela tunazo hatuwezi kutoa kila saa au kila siku coz TZ 80% masikini wa kufa ingawa wengi hawaombi Ombi Bali wanahangaika na kazi duni. Hawa vilema ambao wanaomba omba wapewe sehemu yao rasmi ya kuwapa Msaada Km vituo vya watoto yatima.
Sio barabarani au kuingia kw mabasi au barabarani ambao ni hatari sana sana kwa vilema ya macho au viungo. Pia wengine wanakuja kwa nembo ya kuhubiri Yesu au Allah Kisha kuomba hela( Cjui why uyo Mungu hasaidii kitu) Jaman umaskini unachefua nataman wote tupotee tu.
Cjui hao wanaoweza kuamini Mungu wanamchukuliaje uyu Jamaa yupo kimya tu na majanga kila kona.