Tabia ya mtu kupokea na kuongea na simu wakati anakula chakula inakera na siyo ustaarabu

Tabia ya mtu kupokea na kuongea na simu wakati anakula chakula inakera na siyo ustaarabu

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Habarini,

Yaani unampigia mtu simu kuongea labda maswala ya kazi amapokea simu huku akiwa anakula na kuendelea kuongea huku likitafuna chakula ni tabia ambayo inakera na siyo ustarabu.

Kwani ukipokea simu ukatuma sms ukaomba akupigie simu badae kwakuwa unakula kuna shida gani???

Ebu tusitarabike basi
 
Ahahahahaha nimevuta taswira....

Simu inaita, huku ana matonge matatu mdomoni akiyatafuna, simu inaita....
Anapokea ..... halooo,haloooo pata picha ni lafudhi ya kisukuma ile unaongea kwa kutumia nguvu.....
Mwangaluka wanne, wamishakola mayoo, ulihooo sasa hapo anaongea huku chakula amekibana kwenye mashavu huku anaendelea kutafuna na kumeza halafu anaachama mdomo wote wazi chembe za chakula zinadondoka na kuruka mbele mezani halafu kuna namna watu huwa wanafanya kutoa mabaki ya chakula kwenye fizi kwa kuchezesha mdomo na kutumia ulimi hapo anaachama mdomo wote waziiii

Halafu ndo uwe unakula mbele ya huyu jamaa na ketone kimojq cha chakula kinarukia kwenye sahani yako....

Endelea kuvuta taswira nyingine....
 
Habarini,

Yaani unampigia mtu simu kuongea labda maswala ya kazi amapokea simu huku akiwa anakula na kuendelea kuongea huku likitafuna chakula ni tabia ambayo inakera na siyo ustarabu.

Kwani ukipokea simu ukatuma sms ukaomba akupigie simu badae kwakuwa unakula kuna shida gani???

Ebu tusitarabike basi
Yeah ni sahihi, kula ni ibada, hvyo imekuwa na ustaarabu mwingi tofauti tofauti kulingana na desturi na Mila za mahali husika(nchi, TAIFA, kabisa na teknolojia).
Hvyo Kila sehemu na ustaarabu wao.
My take: hayo ni maoni yako, yaheshimiwe na desturi yako, ila syo kwa kila mtu.
 
Huyo anakuchukulia poa au mmezoeana tu, ila usifikiri kila simu atapokea hivyo.
Ndiyo mara ya kwanza nampigia baada ya kupewa namba yake lakini nilichokutana nacho ni kuongea huku linatafuna chakula huku akiwa ofisini,tabia hii inakera sana na kuleta picha ya kutokuwa serious au mtu wa ovyoovyo kwa upande wa pili
 
Yeah ni sahihi, kula ni ibada, hvyo imekuwa na ustaarabu mwingi tofauti tofauti kulingana na desturi na Mila za mahali husika(nchi, TAIFA, kabisa na teknolojia).
Hvyo Kila sehemu na ustaarabu wao.
My take: hayo ni maoni yako, yaheshimiwe na desturi yako, ila syo kwa kila mtu.
Sidhani kama kuna taifa lenye mila ya kishenzi kama hiyo na kama wewe unatabia hiyo basi utambue ni ushenzi,mataifa mengi yanasisitiza nidhamu na utii wakati wa chakula (table manners).

Kama na wewe ni mmoja wapo wa kubwabwaja wakati wa kula au kula kwa kutafuna kwa sauti kama mbwa basi na wewe ni upinde. mbwa
 
Kuna wale wengine wakiongea, mtaa mzima unasikia! 🗣️ Eeeh! Sawa mjomba! Nitakuja keshoo!
 
Ahahahahaha nimevuta taswira....

Simu inaita, huku ana matonge matatu mdomoni akiyatafuna, simu inaita....
Anapokea ..... halooo,haloooo pata picha ni lafudhi ya kisukuma ile unaongea kwa kutumia nguvu.....
Mwangaluka wanne, wamishakola mayoo, ulihooo sasa hapo anaongea huku chakula amekibana kwenye mashavu huku anaendelea kutafuna na kumeza halafu anaachama mdomo wote wazi chembe za chakula zinadondoka na kuruka mbele mezani halafu kuna namna watu huwa wanafanya kutoa mabaki ya chakula kwenye fizi kwa kuchezesha mdomo na kutumia ulimi hapo anaachama mdomo wote waziiii

Halafu ndo uwe unakula mbele ya huyu jamaa na ketone kimojq cha chakula kinarukia kwenye sahani yako....

Endelea kuvuta taswira nyingine....
Kwanini mfano ni wa wasukuma 😂
 
Kwanini mfano ni wa wasukuma 😂


Aahahahhaaa binamu zangu hawa, sina baya nao 😁😁😁😁.

Wananielewa Kasinde mnyamwezi wa Igunga 😉.

Sasa vuta taswira nyingine anayeongea ni mpare halafu anaongea kilugha chao (chathuu) zile theetheethee anapoongea halafu chembe za chakula zinatoka mdomoni kurukia mezani au kwenye sahani ya jirani...
thikija nkuvwrireee.... harikaaa.... hethina mburiii 😆😆😆😆

Asiisome Mshana Jr 😅.
 
Aahahahhaaa binamu zangu hawa, sina baya nao 😁😁😁😁.

Wananielewa Kasinde mnyamwezi wa Igunga 😉.

Sasa vuta taswira nyingine anayeongea ni mpare halafu anaongea kilugha chao (chathuu) zile theetheethee anapoongea halafu chembe za chakula zinatoka mdomoni kurukia mezani au kwenye sahani ya jirani...
thikija nkuvwrireee.... harikaaa.... hethina mburiii 😆😆😆😆

Asiisome Mshana Jr 😅.
😂 utakuja upigwe na kina Mbaga Jr
 
Back
Top Bottom