Tabia ya Rais kuwataja kwa majina TISS ni kutokujua miiko au ni sifa?

Tabia ya Rais kuwataja kwa majina TISS ni kutokujua miiko au ni sifa?

nuporo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2018
Posts
1,534
Reaction score
3,387
naam
katika awamu hii mambo mengi ambayo raia wa kawaida ilikua ni nadra sana kuyajua au ni vigumu kuyajua imekuwa ni jambo la kawaida sana kuyasikia..
najua kila nchi huwa inataratibu zake za ulinzi na namna ya kupata taarifa muhimu zitakazoisaidia nchi katika masuala mbalimbali ya kiuchumi,kisiasa na naweza sema pia ulinzi kutoka kwa wananchi wake .. taarifa hizi siyo kwamba zinapatikana kwa njia ya kawaida kama watu wanavyodhani ndio ni kawaida ila katika hali ya ugumu fulani kupitia kitengo maalumu cha watu walioapa na kutunza siri kwa watakachokiona na kusikia na kumwamini kiongozi wao aliewaagiza tu..
mara nyingi kazi hizi huwa ni siri sana maana ukigudulika utakuwa umejipotezea sifa na marafiki napia itakuweka katika wakati mgumu kuitwa wewe ni snitch utatengwa.. sasa nawaza hivi hii tabia ya kuwataja kwa majina viongozi na watu wanaofanya katika idara ya usalama wa Taifa ni kutokujua miiko au?? au ni kujengeana hofu ya kutokumuamini jirani yako na hata kama ni hivyo usalama wao na maisha yao ya kawaida yatakuwaje baada ya kuwataja... jamani naamini hata wao hawataki ila hakuna namna nawasilisha
1553869839974.png
 
itafikia hatua ndugu na marafiki wataanza kukwepana wakigundua mmoja kati yao n snitch na ni mbaya sana hii maana ukipata shida jirani yako ndiyo msaada wako wa kwanza sasa hakuna mtu anaependa kitumbua chake kitiwe mchanga hakuna!
 
Nani katajwa wapi?, alaf Rais kama mkuu wa nchi, mkuu wa majeshi, mkuu wa serikali na vyombo vyote vya ulinzi na usalama, hapangiwi nini aseme na nini asiseme.
naam
katika awamu hii mambo mengi ambayo raia wa kawaida ilikua ni nadra sana kuyajua au ni vigumu kuyajua imekuwa ni jambo la kawaida sana kuyasikia..
najua kila nchi huwa inataratibu zake za ulinzi na namna ya kupata taarifa muhimu zitakazoisaidia nchi katika masuala mbalimbali ya kiuchumi,kisiasa na naweza sema pia ulinzi kutoka kwa wananchi wake .. taarifa hizi siyo kwamba zinapatikana kwa njia ya kawaida kama watu wanavyodhani ndio ni kawaida ila katika hali ya ugumu fulani kupitia kitengo maalumu cha watu walioapa na kutunza siri kwa watakachokiona na kusikia na kumwamini kiongozi wao aliewaagiza tu..
mara nyingi kazi hizi huwa ni siri sana maana ukigudulika utakuwa umejipotezea sifa na marafiki napia itakuweka katika wakati mgumu kuitwa wewe ni snitch utatengwa.. sasa nawaza hivi hii tabia ya kuwataja kwa majina viongozi na watu wanaofanya katika idara ya usalama wa Taifa ni kutokujua miiko au?? au ni kujengeana hofu ya kutokumuamini jirani yako na hata kama ni hivyo usalama wao na maisha yao ya kawaida yatakuwaje baada ya kuwataja... jamani naamini hata wao hawataki ila hakuna namna nawasilisha
View attachment 1057255
 
Nani katajwa wapi?, alaf Rais kama mkuu wa nchi, mkuu wa majeshi, mkuu wa serikali na vyombo vyote vya ulinzi na usalama, hapangiwi nini aseme na nini asiseme.
kuna kitu hakipo vizuri ndani yako naweza sema mengi huyajui soma sana elimu itaziba kilichopungua katika kichwa chako siyo kuandika kwa mihemko kila kitu kinataratibu zake
 
Hiyo ni hofu tu mliyonayo kwa tuhuma mlizonazo. Diwani anapaswa kutumia ujuzi, mafunzo na uzoefu wa TISS kukomesha rushwa. Diwani kwa sasa yupo nje ya majukumu ya TISS hivyo kumtaja hakuna madhara. Mbona Membe mnamtaja kila Mara, Rais akitaja ndo kosa?, ="Kinyungu, post: 30918411, member: 10100"]Kumbe hapangiwi cha kusema ndiyo maana anaropoka hovyo kama mlevi.[/QUOTE]
 
Ukifuatilia post za watanzania wengi humu ndani ya jukwaa,utakubaliana na mimi kwamba wengi wetu tuna matatizo mengi ambayo yanatufanya tusiziamini akili zetu tena.huwenda tunatumia hata makalio kufikiri.

Jana,na leo tumejikita kujadili kauli ya rais,kumtaja hadharani mtumishi wa TISS,bado sina uhakika,ni kweli watz hawajui si habari wala dili kiongozi wa kariba ile kuwa mtu wa TISS!!!!au vile tumeamua kuwa wapuuzi tu!!!!

Yaani kuna mambo ya msingi watu hawajadili,kisha wanajikita katika mambo ambayo,hawayajui,hawayaelewi,kisha wanajivisha utaalamu wa kiwango cha juu.kisha zinatolewa pumba za kutosha zikishangaza zaidi.
 
kwa cheo cha Diwani wala haina shida, after all JPM ndio mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.
 
Back
Top Bottom