Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Huyu alikuwa TISS wa hovyo, unawezaje.kupokea rushwa kwa mpesa eti!?
PCCB ni raia naomba ieleweke hivyo.Kwani TISS na POLISI awali hawakukamatwa na PCCB? hivi hujui PCCB jeshi Fulani ambalo lipo full mikoba maana Kuna mdau wangu 1 huwa anaondoka kimya kimya kwenda mafunzo huko mavikosi ya jeshi miezi akirudi anadai alikuwa likizo kijijini
Hajavunja Sheria wala maadili yeyote kuna ngazi ukifikia ktk taasisi hizo za usalama tena kote duniani jina lako laweza tajwa hadharani. Ktk nyaja hiyo Rais wetu anajua zaidi kuliko mimi na wewe na ndiye bosi waonaam
katika awamu hii mambo mengi ambayo raia wa kawaida ilikua ni nadra sana kuyajua au ni vigumu kuyajua imekuwa ni jambo la kawaida sana kuyasikia..
najua kila nchi huwa inataratibu zake za ulinzi na namna ya kupata taarifa muhimu zitakazoisaidia nchi katika masuala mbalimbali ya kiuchumi,kisiasa na naweza sema pia ulinzi kutoka kwa wananchi wake .. taarifa hizi siyo kwamba zinapatikana kwa njia ya kawaida kama watu wanavyodhani ndio ni kawaida ila katika hali ya ugumu fulani kupitia kitengo maalumu cha watu walioapa na kutunza siri kwa watakachokiona na kusikia na kumwamini kiongozi wao aliewaagiza tu..
mara nyingi kazi hizi huwa ni siri sana maana ukigudulika utakuwa umejipotezea sifa na marafiki napia itakuweka katika wakati mgumu kuitwa wewe ni snitch utatengwa.. sasa nawaza hivi hii tabia ya kuwataja kwa majina viongozi na watu wanaofanya katika idara ya usalama wa Taifa ni kutokujua miiko au?? au ni kujengeana hofu ya kutokumuamini jirani yako na hata kama ni hivyo usalama wao na maisha yao ya kawaida yatakuwaje baada ya kuwataja... jamani naamini hata wao hawataki ila hakuna namna nawasilisha
View attachment 1057255
[/QUOTE]Hiyo ni hofu tu mliyonayo kwa tuhuma mlizonazo. Diwani anapaswa kutumia ujuzi, mafunzo na uzoefu wa TISS kukomesha rushwa. Diwani kwa sasa yupo nje ya majukumu ya TISS hivyo kumtaja hakuna madhara. Mbona Membe mnamtaja kila Mara, Rais akitaja ndo kosa?, ="Kinyungu, post: 30918411, member: 10100"]Kumbe hapangiwi cha kusema ndiyo maana anaropoka hovyo kama mlevi.
Lengo lake kuu ni kuwafanya watu waogope yani uoga wake yeye anataka awaambukize na watu wengine...kwamba TISS ni hatari sana hahahaha
Mkuu kwa hiyo diwani ni office wa polisi wakati huo huo ni ni mtumishi wa Tiss?Magufuli ana akili sana. Katika makundi ambayo ni untouchables ni Polisi na TISS katika rushwa. Amemtaja makusudi ili nao wajue kuwa kwanza Diwani bado Polisi na anaweza at any moment akamnyaka Polisi bila kutoa taarifa kwa IGP. Aidha anaondoa ili kinga ya watu wa usalama wa taifa kuwa akinyakwa lazima mkuu wa TISS atoe kibali! Kwa vile ni TISS anadeal naye kama afisa wake. Magu ana akili sana
Na wakati huo huo ni boss wa PCCBMkuu kwa hiyo diwani ni office wa polisi wakati huo huo ni ni mtumishi wa Tiss?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli kabisa kuwataja wale. Jamaa mbele. Ya public nikama umewatangazia hukumu ya kifo napata shida sana ktk hili naa sijuwi ni kwa nn?naam
katika awamu hii mambo mengi ambayo raia wa kawaida ilikua ni nadra sana kuyajua au ni vigumu kuyajua imekuwa ni jambo la kawaida sana kuyasikia..
najua kila nchi huwa inataratibu zake za ulinzi na namna ya kupata taarifa muhimu zitakazoisaidia nchi katika masuala mbalimbali ya kiuchumi,kisiasa na naweza sema pia ulinzi kutoka kwa wananchi wake .. taarifa hizi siyo kwamba zinapatikana kwa njia ya kawaida kama watu wanavyodhani ndio ni kawaida ila katika hali ya ugumu fulani kupitia kitengo maalumu cha watu walioapa na kutunza siri kwa watakachokiona na kusikia na kumwamini kiongozi wao aliewaagiza tu..
mara nyingi kazi hizi huwa ni siri sana maana ukigudulika utakuwa umejipotezea sifa na marafiki napia itakuweka katika wakati mgumu kuitwa wewe ni snitch utatengwa.. sasa nawaza hivi hii tabia ya kuwataja kwa majina viongozi na watu wanaofanya katika idara ya usalama wa Taifa ni kutokujua miiko au?? au ni kujengeana hofu ya kutokumuamini jirani yako na hata kama ni hivyo usalama wao na maisha yao ya kawaida yatakuwaje baada ya kuwataja... jamani naamini hata wao hawataki ila hakuna namna nawasilisha
View attachment 1057255
JPM tena??kwa cheo cha Diwani wala haina shida, after all JPM ndio mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.