KERO Tabia ya Shule kuchangisha pesa za mitihani kila wiki inakithiri, Walimu wameifanya kuwa mtaji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Elimu ni Bure 100% ni kitu hakiwezekani, hii sector iko underfunded, kama mzazI unaakili, unatakiwa uwaonee huruma waalimu, siyo kuwaita ni wezi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…