Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
- Thread starter
-
- #21
Nimefurahishwa sana na maelezo yako mkuu!
Kama kweli wewe ni mwanasimba, tukipata viongozi kama wewe ktk vilabu vitano tu... (Ligi kuu) tutafika mbali, mfano mimi ni Yanga ila kwa mtazamo wako huu nikweli unafikra endelevu kwa simba na soka la tz kwa ujumla
Mafuriko fc, NdaLa Fc, Vyura Fc, 5 stars modern taraab fc, Akili mavi Fc
Hakuna raha kama kuigaragaza yanga, yani ni sawa na kuichakaza ccm
Hapo kuichakaza CCM sawa ila Yanga Big NoHakuna raha kama kuigaragaza yanga, yani ni sawa na kuichakaza ccm
Wangeshuka daraja nahisi hata ule umbumbumbu ungewatoka.
Mbumbumbu ni yule anayekataa kuvaa nembo ya vodacom sababu ya rangi nyekundu huku akivaa jezi nyekundu na kushabikia Man U, Liverpool, Arsenal, Bayern Munchen nk.mbumbumbu fc
Hivi Okwi ana Cheo gani pale TFF?Hata ushindi dhidi ya Yanga, TFF iliamua kuwapa point tuu ili Simba isihadhirike.
Hahahahaaaaa mkuu umenikumbusha mbaaliJamal Malinzi alimpasia Boniface Wambura naye kwa ustadi wa hali ya juu akamtungua Ally Mustafa.
Halafu ile pasi ya Kizuguto kwa Malinzi ilikuwa babkubwaJamal Malinzi alimpasia Boniface Wambura naye kwa ustadi wa hali ya juu akamtungua Ally Mustafa.
Ameni,nendeni Stand United au MCC kama siyo Mgambo.
Pole kaka,hamia huku Dar Young Africa hakuna uswahili oooh uwanja mbaya sijui nn ni magoli tu!..
ahsante kiongozi. Hili pengo la point 37 na mchezo mmoja mkononi wakati sisi tuna 29 linatunyima raha
Mleta uzi waambie na yeboyebo waache kuachia achia kila wakikutana na Simba, wabane kama wanavyobana mbele ya Azam.Ni miaka zaidi ya mitatu timu yetu ya simba haijashiriki mashindano yeyote ya kimataifa. inaona kuifunga yanga pekee ndiyo imemaliza ligi kuu na kuchukua ubingwa. Matokeo ya leo kati ya yanga na mgambo yamedhihirisha kuwa hata mwaka huu simba haitacheza ligi ya mabingwa au ligi ya shirikisho. Simba tujitapange sana hii tabia ya kujiona na kusema bora tufungwe na timu yeyote lakini tusifungwe na yanga itatupelekea tusicheze ligi za kimataifa na kila mwaka tutaendelea kuishia ligi ya ndani tu.
Imeniuma sana
Wangeshuka daraja nahisi hata ule umbumbumbu ungewatoka.
Ni kweli huko hakuna uswahili kuna uhindi wa kutembeza noti ili makipa wa timu pinzani watoe zawadi na timu zinazokaza mechi nyingine zilegeze dakika 10 za mwisho...
Ingekuwa kwenye ligi kuu unachagua timu ya kucheza nayo mimi ningekuwa naichagua yanga kila mechi. Saa hii tayari ningekuwa nimeshatangaza ubingwa, hizi timu nyingine zinanuka vikwapa mpaka wachezaji wangu wanashindwa kucheza kandanda lao.