Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
Ni miaka zaidi ya mitatu timu yetu ya simba haijashiriki mashindano yeyote ya kimataifa. inaona kuifunga yanga pekee ndiyo imemaliza ligi kuu na kuchukua ubingwa. Matokeo ya leo kati ya yanga na mgambo yamedhihirisha kuwa hata mwaka huu simba haitacheza ligi ya mabingwa au ligi ya shirikisho. Simba tujitapange sana hii tabia ya kujiona na kusema bora tufungwe na timu yeyote lakini tusifungwe na yanga itatupelekea tusicheze ligi za kimataifa na kila mwaka tutaendelea kuishia ligi ya ndani tu.
Imeniuma sana
Imeniuma sana