Huyo Mbwana Samatta, sasa ndio mnaringa sio, hatumhitaji, sisi tushakuwa na bado wako wachezaji wengi wa kutokea KE kwenye ligi za Ulaya, Asia na hata Uarabuni, sasa huyo dogo mmoja si breakfast kwenye Sector hiyo huku!? 🤣 🤣 🤣
Tatizo Tanzania haijulikani huko nje, hivyo kila Mtanzania anayetaka kufahamika alikotokea lazima itajwe Kenya, aidha iandikwe katokea Tanzania nchi ambayo iko Kusini mwa Kenya, au katokea Kenya kabisa......hapo yeyote anayesoma akiwa kwenye pembe yoyote ya dunia atapata ramani.
Lakini ukitaja Tanzania tu bila kuhusisha Kenya, mhusika mlengwa atadhani ni kainchi fulani shithole kule Asia.
Huyo Mbwana Samatta, sasa ndio mnaringa sio, hatumhitaji, sisi tushakuwa na bado wako wachezaji wengi wa kutokea KE kwenye ligi za Ulaya, Asia na hata Uarabuni, sasa huyo dogo mmoja si breakfast kwenye Sector hiyo huku!? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Tatizo Tanzania haijulikani huko nje, hivyo kila Mtanzania anayetaka kufahamika alikotokea lazima itajwe Kenya, aidha iandikwe katokea Tanzania nchi ambayo iko Kusini mwa Kenya, au katokea Kenya kabisa......hapo yeyote anayesoma akiwa kwenye pembe yoyote ya dunia atapata ramani.
Lakini ukitaja Tanzania tu bila kuhusisha Kenya, mhusika mlengwa atadhani ni kainchi fulani shithole kule Asia.
Tanzanians with their inferiority complex again. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Now Naija on Netflix is Kenya? Huyo Idris Sultan hata tukipewa wa bure hatuwezi mchukue na hakuna Mkenya wa kawaida anayemjua huku. Mwelezeni aache kiki za kipuzi.
Wewe ata kama alishinda BBA, si yeye wa kwanza Afrika. Mbona nchi zingine hawasemi contestants wao waliowahi kushinda?
Pili, pia sisi KE tushapeleka watu BBA na sio mmoja, hata kama hatukushinda kitu ila tuna exposure na mambo hayo.
Tatu, Idriss sio kila watu wengi wanaomjua KE, sasa mlinganishe na Lupita, yaani mpaka vinyanya huko Bongo wanamtambua yule dada! 🤣 🤣 🤣
Alafu usisahau wa KE, vituko vya Netflix toka zamani tu, tunatoaga vitu vya uhakika. Mambo ya kawaida huku, films home made by Kenyan youths.
Na features tumezifanya nyingi hadi ughaibuni, nafkiri huwa unaangalia filamu za kishua, you'll know what am talking about! 🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.